Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Mimi ni Yanga damu Mkuu, katika vitu siwezi kubadili maisha yangu yote ni Yanga.
Naipenda sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi ni Yanga damu Mkuu, katika vitu siwezi kubadili maisha yangu yote ni Yanga.
Naipenda sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nipo. 😎😎Upooo.....
Cha ajabu sasa mnaweza kucheza na timu ya hovyo mkaambulia kichapo.
mie Alhamdulillah nimeamka salama. Sijui wewe?Umeongea maneno mazito sana. Lakini siku zote mpira unatoa matokeo ya kikatili mno..Mkuu umeamka salama?
Sent using Jamii Forums mobile app
mie Alhamdulillah nimeamka salama. Sijui wewe?
Najipanga tu kwa vijembe vyenu kesho huko Maofisini sababu najua hatutakunywa maji.
Niko njema kabisa Alhamdulillah..Hatuna vijembe, tumemaliza kazi tunasonga mbele
Nasikia mnatofautia huko kuhusu waarabu, wengine wanasema si waarabu ni wahamiaji..wengine ni waarabu lakini hawajui mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo waarabu walivyo timu za Tanzania tuu ndo tunawaachiaga wao kwao lazima wakuletee figisu tuu haijarishi we kwenu kama haukuwaletea figisu au laa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi vyura ni vibonde zaidi maana wamewahi pigwa 5 - 0.Kwa mpira ule JS Soura ninkibonde wa kundi D.
Kama umepigwa na simba tena bao 3 sidhani kama As Vita na Al Ahly wataacha kubeba alama zote 6 kila mmoja kwa huyu jamaa.
Afadhali Nkana anacheza vyema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kusema hao vibonde mcheze na barcelona hahahaaaaaaaa engineer soma kuleeeeeeeeee.....Mmecheza na tim ambayo sio wazoefu wa haya mashindano, subirini Al ahly or Vita club mtachapwa nyingi sanaa....
Vivaa Wydad Casablanca
Hivi na wale USM Algers feki, zile nne bora mngesema mnatokea somaliaAcha uoga wanakuja waarabu origino sasa feki wameshaisha
Ni kweli mkuu kina USM algers wote fekeliNi kweli.
Tulidhani waarabu wote wako kama al ahly na zamalek.
Kumbe kuna wakina Alliance SC na huko kwao aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀😀😀yaani washabiki wanyanga wanahaha jamani!!kama mwanamke asiye na bwana maalumuIla vyura/mbute mbute mnateseka eti wale sio waarabu original any way basi tufanye ni yanga wamejichubua
View attachment 992974
Sent using Jamii Forums mobile app
Dua la kuku hiliTulieni kwanza nyie baadaye mtakimbia hapa,nyie bado sana kwa namna nilivyoiona am ahaly na as vita,bado ni under......View attachment 992951
Na JS Soura au?Basi vyura ni vibonde zaidi maana wamewahi pigwa 5 - 0.
Si kwenye safari ya kurudi kwenu Algeria au unabaki kwetu Tanzania?😃😃😃 kwenye nini Sa?