MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,491
- 8,721
Anasoma International School of Tanganyika?Ibada ya kingereza kkt mbezi beach ni once a month, na ni option sio unalazimishwa, binafsi mimi na watoto wangu tunasali engkish service na first born wangu mafundisho ameopt english kwa sababu ndio lugha amekua akiitumia shule na tuliona kiswahili kitasumbua
Cha mshingi wewe chagua ibada unayoimudu, kama ni kiswagili au kingereza
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app