Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,624
Yaani wanaboa balaaWakati taifa lina lengo la kuimarisha matumizi ya lugha yetu kwenye nyanja zote ikiwa ni pamoja na elimu wapinzani wa taifa kujikomboa kwenye ukoloni wa lugha na utamaduni wa kigeni wanajibu mapigo kupitia makanisa...