Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,903
- 33,466
Ni katika maadhimisho ya miaka 500 tangu kuanzishwa kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri. Waumini wote wa kanisa hili katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani(DMP),watakusanyika kufanya ibada ya pamoja pale uwanja wa Taifa kuanzia saa 2 asubuhi.
Itakuwa ni ibada ya kipekee ambapo maelfu ya watu wanatarajiwa kuhudhuria ibada hiyo ambayo itahudhuriwa pia na askofu wa DMP Dr. Malasusa.
Tutashuhudia kwaya zenye mamia ya watu wakiimba kwa pamoja kutoka katika kila jimbo.
Wote tukaribie.
Itakuwa ni ibada ya kipekee ambapo maelfu ya watu wanatarajiwa kuhudhuria ibada hiyo ambayo itahudhuriwa pia na askofu wa DMP Dr. Malasusa.
Tutashuhudia kwaya zenye mamia ya watu wakiimba kwa pamoja kutoka katika kila jimbo.
Wote tukaribie.