Taarifa zinazosambaa mitandaoni kupitia Mwananchi digital zikionyesha baadhi ya wachungaji kumlaumu Mkuu wa Kanisa kushauri kiti cha uaskofu kurudi Tukuyu.
1. Enyi wachungaji mnajua maana ya KITI CHA UASKOFU?
2. Mnajua hicho kiti kilisimikwa wapi?
3. Mnaijua Katiba yenu?
4. Mnajua na kuelewa mamlaka na mipaka ya Mkuu wa kanisa?
5. Mnajua nakuelewa kati ya;
Mkuu wa kanisa na Askofu mkuu?
Wachungaji mnaomlaumu Mkuu wa kanisa mnamkosea sana. Ametimiza wajibu kama mkuu wa kanisa kwa Katiba ya Dayosisi ya Konde na Katiba ya KKKT.
Ushauri
1. Someni katiba zote mbili kwa umakini
2. Mkuu wa kanisa amewasaidia kuthibitisha kuwa kiti kilihamishwa kiimla
3. Mwenye mamlaka ya kumuondoa Mwaikali ni Katiba yenu na siyo mkuu wa kanisa
4.Wajumbe wa vikao vya maamuzi vya dayosisi ndivyo havijui wajibu wao. Wachungaji mnatakiwa kuwaondoa hao kwanza.
NB:
Malumbano hayatawasaidia
Utawala na Jiografia ya Dayosisi hiyo inahitaji kumegwa
Wachungaji mliokaa kumlaumu mkuu wa kanisa mmuombe radhi.
Umoja wakurudisha head office Tukuyu hampaswi kumbeza. Mmbeze aliyelazimisha kuhamisha usajili Kikanisa na kiserikali.
1. Enyi wachungaji mnajua maana ya KITI CHA UASKOFU?
2. Mnajua hicho kiti kilisimikwa wapi?
3. Mnaijua Katiba yenu?
4. Mnajua na kuelewa mamlaka na mipaka ya Mkuu wa kanisa?
5. Mnajua nakuelewa kati ya;
Mkuu wa kanisa na Askofu mkuu?
Wachungaji mnaomlaumu Mkuu wa kanisa mnamkosea sana. Ametimiza wajibu kama mkuu wa kanisa kwa Katiba ya Dayosisi ya Konde na Katiba ya KKKT.
Ushauri
1. Someni katiba zote mbili kwa umakini
2. Mkuu wa kanisa amewasaidia kuthibitisha kuwa kiti kilihamishwa kiimla
3. Mwenye mamlaka ya kumuondoa Mwaikali ni Katiba yenu na siyo mkuu wa kanisa
4.Wajumbe wa vikao vya maamuzi vya dayosisi ndivyo havijui wajibu wao. Wachungaji mnatakiwa kuwaondoa hao kwanza.
NB:
Malumbano hayatawasaidia
Utawala na Jiografia ya Dayosisi hiyo inahitaji kumegwa
Wachungaji mliokaa kumlaumu mkuu wa kanisa mmuombe radhi.
Umoja wakurudisha head office Tukuyu hampaswi kumbeza. Mmbeze aliyelazimisha kuhamisha usajili Kikanisa na kiserikali.