kalendi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 1,327
- 521
Tukisema kwamba hatuna dhambi, tunajidanganya, Marehemu alitubu dhambi zake yeye pamoja na mke wake. Kanisa likawarudisha kundini. Full stopkama unasikiliza sasa hivi muda huu mchungaji amelizungumzia hilo alishatubu akarudi kundini akiwa na mkewake mpya