KKKT haya mahubiri ya Upendo Tv kuhusu siasa ni msimamo wa kanisa au wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani?

Ongeza Volume Kiongozi
Hao vijana wawili wa kimara na kijitonyama wana kiburi hatari, wanajiona wao ndo KKKT, ni wajasilia dini kama wengine tu.

Huyu wa kijitonyama amehongwa na magufuli, akibisha tutamwekea miamala yake ya hongo.

Ndo atajua kuna watz makini kuliko hata kigogo 2014
 
Mi sio msemaji wa mtu yeyote awe Mchungaji Mastai au Kimaro.

Inawezekana upo tu umeandika bila kujua kweli ilivyo.

Mchungaji Mastai na Kimaro wanatimiza neno kama lilivyo kwenye maandiko ya kua mtiini mwenye MAMLAKA ambaye ni Rais.
Sasa kama Biblia imendika hivyo wao ni nani jamani mpaka wasiitii mamlaka.
Enyi watumishi, watiini bwana zenu kwa hofu nyingi, sio wale walio wema na wenye upole tu, bali pia wale walio wakali.

*1* *Petro 2:18*
Enyi watumishi, watiini bwana zenu kwa hofu nyingi, sio wale walio wema na wenye upole tu, bali hata wale walio wakali.

2. Khusu radio kweli watu walichanga na makanisa yote yana haki kutumia.

Kwa taarifa tu Mchungaji Kimaro ilibidi tumpongeze kwa mchango wake wa kuifanya Upendo redio i-sustain.

(i) We ulivyotoa mchango wako umeshawahi kujitolea tena kupeleka pesa kwa ajili ya mishahara ya wafanyakazi wa Upendo?

(ii] Hayo makanisa mengine unayoyasema yanafanya vizuri yalishawahi kwenda Upendo media kutaka wapate airtime wakanyimwa?

(iii) Unajua gharama za kupata live coverage labda kwa lisaa limoja ni shilingi ngapi ?

(iv) Unajua KKKT Kijitonyama kwa huyo Kimaro wanailipa Upendo media shilingi ngapi au unadhani ni bure? Ndo mana nakwambia Kimaro anatakiwa kushukuriwa kwa kuthubutu kuwaita Upendo media warushe matangazo yake live akijua kabisa anaweza kulipia.
Usidhani ulipochanga ile pesa siku hiyo sijui hata ilikua ngapi ndo ulikua mwisho wako mpendwa.

Ilikubidi upeleke na matangazo ya ofisini kwako watutangazie na uwalipe la sivyo Radio itajiendesha kwa hasara na Amin Amin nakuambia ingefikia hapo KKKT wangerudi kanisani kwako kukuomba mchango wa kuwalipa wafanyakazi mishahara ungelalamika mpaka ungekufuru laana iende kwa uzao wako bila sababu.

Mi huu ndio mtazamo wangu na sifungamani na mtu yeyote nikosolewe pale nilipopinda. Ubarikiwe sana wewe unayeanza majungu yasiyo na tija
Kuna tofauti yakutii nakujikomba! Mtawala anaua watu ananyamazisha watu then unamtukuza! kwani ukikaa kimya usipomtaja utapoteza nini!
 
Mi sio msemaji wa mtu yeyote awe Mchungaji Mastai au Kimaro.

Inawezekana upo tu umeandika bila kujua kweli ilivyo.

Mchungaji Mastai na Kimaro wanatimiza neno kama lilivyo kwenye maandiko ya kua mtiini mwenye MAMLAKA ambaye ni Rais.
Sasa kama Biblia imendika hivyo wao ni nani jamani mpaka wasiitii mamlaka.
Enyi watumishi, watiini bwana zenu kwa hofu nyingi, sio wale walio wema na wenye upole tu, bali pia wale walio wakali.

*1* *Petro 2:18*
Enyi watumishi, watiini bwana zenu kwa hofu nyingi, sio wale walio wema na wenye upole tu, bali hata wale walio wakali.

2. Khusu radio kweli watu walichanga na makanisa yote yana haki kutumia.

Kwa taarifa tu Mchungaji Kimaro ilibidi tumpongeze kwa mchango wake wa kuifanya Upendo redio i-sustain.

(i) We ulivyotoa mchango wako umeshawahi kujitolea tena kupeleka pesa kwa ajili ya mishahara ya wafanyakazi wa Upendo?

(ii] Hayo makanisa mengine unayoyasema yanafanya vizuri yalishawahi kwenda Upendo media kutaka wapate airtime wakanyimwa?

(iii) Unajua gharama za kupata live coverage labda kwa lisaa limoja ni shilingi ngapi ?

(iv) Unajua KKKT Kijitonyama kwa huyo Kimaro wanailipa Upendo media shilingi ngapi au unadhani ni bure? Ndo mana nakwambia Kimaro anatakiwa kushukuriwa kwa kuthubutu kuwaita Upendo media warushe matangazo yake live akijua kabisa anaweza kulipia.
Usidhani ulipochanga ile pesa siku hiyo sijui hata ilikua ngapi ndo ulikua mwisho wako mpendwa.

Ilikubidi upeleke na matangazo ya ofisini kwako watutangazie na uwalipe la sivyo Radio itajiendesha kwa hasara na Amin Amin nakuambia ingefikia hapo KKKT wangerudi kanisani kwako kukuomba mchango wa kuwalipa wafanyakazi mishahara ungelalamika mpaka ungekufuru laana iende kwa uzao wako bila sababu.

Mi huu ndio mtazamo wangu na sifungamani na mtu yeyote nikosolewe pale nilipopinda. Ubarikiwe sana wewe unayeanza majungu yasiyo na tija
Hebu tuambie utawala huu ni dhalimu au sio dhalimu
 
Mi sio msemaji wa mtu yeyote awe Mchungaji Mastai au Kimaro.

Inawezekana upo tu umeandika bila kujua kweli ilivyo.

Mchungaji Mastai na Kimaro wanatimiza neno kama lilivyo kwenye maandiko ya kua mtiini mwenye MAMLAKA ambaye ni Rais.
Sasa kama Biblia imendika hivyo wao ni nani jamani mpaka wasiitii mamlaka.
Enyi watumishi, watiini bwana zenu kwa hofu nyingi, sio wale walio wema na wenye upole tu, bali pia wale walio wakali.

*1* *Petro 2:18*
Enyi watumishi, watiini bwana zenu kwa hofu nyingi, sio wale walio wema na wenye upole tu, bali hata wale walio wakali.

2. Khusu radio kweli watu walichanga na makanisa yote yana haki kutumia.

Kwa taarifa tu Mchungaji Kimaro ilibidi tumpongeze kwa mchango wake wa kuifanya Upendo redio i-sustain.

(i) We ulivyotoa mchango wako umeshawahi kujitolea tena kupeleka pesa kwa ajili ya mishahara ya wafanyakazi wa Upendo?

(ii] Hayo makanisa mengine unayoyasema yanafanya vizuri yalishawahi kwenda Upendo media kutaka wapate airtime wakanyimwa?

(iii) Unajua gharama za kupata live coverage labda kwa lisaa limoja ni shilingi ngapi ?

(iv) Unajua KKKT Kijitonyama kwa huyo Kimaro wanailipa Upendo media shilingi ngapi au unadhani ni bure? Ndo mana nakwambia Kimaro anatakiwa kushukuriwa kwa kuthubutu kuwaita Upendo media warushe matangazo yake live akijua kabisa anaweza kulipia.
Usidhani ulipochanga ile pesa siku hiyo sijui hata ilikua ngapi ndo ulikua mwisho wako mpendwa.

Ilikubidi upeleke na matangazo ya ofisini kwako watutangazie na uwalipe la sivyo Radio itajiendesha kwa hasara na Amin Amin nakuambia ingefikia hapo KKKT wangerudi kanisani kwako kukuomba mchango wa kuwalipa wafanyakazi mishahara ungelalamika mpaka ungekufuru laana iende kwa uzao wako bila sababu.

Mi huu ndio mtazamo wangu na sifungamani na mtu yeyote nikosolewe pale nilipopinda. Ubarikiwe sana wewe unayeanza majungu yasiyo na tija
Umekosea sana, acha siasa
 
Habari zilizopo Malasusa amepewa ulinzi akienda mahali lazima sweeping ifanyike
Na mimi nimeona usemayo. Nikweli kabisa.Nikiwa mwana KKKT kindaki ndaki niliyesoma seminari za KKKT na vyuo vya elimu ya juu vya KKKT naitazama dayosisi ya Mashariki na Pwani kama unataka kuingia kwenye UjasiriaDini. Mwelekeo wa Ibada zetu hapa DMP na mwenendo wa mambo unavyoenda taratibu DMP itaanza kuwa kama magenge ya Mwamposa, Lusekelo,na wengineo wafanya biashara ya Dini. Na kwa maana hiyo survival ya wajasiria dini ni kujikomba kwa Serikali. Malasusa anajulikana kwaiyo sishangai akijikomba kwa hao viongozi wa dini lakini ni hatari sana Kiongozi wa kanisa kuegemea waziwazi ki misimamo na chama cha siasa. Mchungaji wa Kimara nimempuuza na Kijitonyama sitasali tena!
 
Kimaro ni muhubiri mzuri...nimeshamsikiliza mara kadhaa...kama atapitia bandiko hili ninamshauri na kumuomba....apunguze kwenye mahubiri yake kutaja mambo ya makabila, na siasa...itamsaidia sana kuboresha mahubiri yake....kuna waumimi wake tukimsikiliza akianza kutamba kuhusu ...sijui kabila fulani au
sijui mwanasiasa fulani masikio yanawasha...Afuate mfano wa Mwakasege.....ikitokea akagusia siasa katika mahubiri yake haoneshi upande...anasimama katika neno..(rejea mahubiri yake ya neneo:ili ufanikiwe maombi pekee hayatoshi)...akigusia makabila hataji jina la kabila...au kusema anatoka wapi....
Mungu azidi kumpa hekima mchungaji Eliona Kimaro...
Kweli kabisa
Na sijui kwann amekumbwa na MTEGO huu, wa kutumika kisiasa.
Hakuna kitu kitakachomshusha kama hichi..maana hapa anapoteza wasikilizaji wengi sana
 
KKKT lazima ijue kuwa serikali zina nguvu kubwa na mbinu nyingi, ikitaka kuingia katika taasisi yeyote iliyo huru na yenye nguvu wanatumia watu wa ndani ya taasisi hiyohiyo.
Nilipoona majuzi mahubiri ya Mchungaji wa Kijitonyama yanapewa Airtime ya kutosha na page ya Msigwa wa Ikulu nilijua tayari KKKT imeingiliwa.
Nadhani KKKT ni zaidi ya hapo, watachukua hatua haraka isipotezwe na wachache wanaotumika.
Ilishaingiliwa kitambo Kupitia MALASUSA
 
Na mimi nimeona usemayo. Nikweli kabisa.Nikiwa mwana KKKT kindaki ndaki niliyesoma seminari za KKKT na vyuo vya elimu ya juu vya KKKT naitazama dayosisi ya Mashariki na Pwani kama unataka kuingia kwenye UjasiriaDini. Mwelekeo wa Ibada zetu hapa DMP na mwenendo wa mambo unavyoenda taratibu DMP itaanza kuwa kama magenge ya Mwamposa, Lusekelo,na wengineo wafanya biashara ya Dini. Na kwa maana hiyo survival ya wajasiria dini ni kujikomba kwa Serikali. Malasusa anajulikana kwaiyo sishangai akijikomba kwa hao viongozi wa dini lakini ni hatari sana Kiongozi wa kanisa kuegemea waziwazi ki misimamo na chama cha siasa. Mchungaji wa Kimara nimempuuza na Kijitonyama sitasali tena!
Dayosisi ya mashariki na pwani tayari ishakuwa wajasiria dini ukainzia na kiongozi wa Malasusa...so lazima uozo ushuke chini kwa wengine....wenye kufuata misingi ya injili wamewekwa kando wamebaki watafuta pesa na kujikomba kwa wanasiasa ilihali walikua kuna DAMU za watu zinalia kaburini sana sababu ya matendo yao nao wameamua kuziba masikio na kusupport uzalimu huu kama ilivyokuwa Rwanda kipindi kile kabla hawajauana wenyewe kwa wenyewe.
 
Sina budi kumshukuru Mungu kwa kile kidogo ulichochangishana, leo Tuna TV ya kanisa inayomhubiri Kristo ktk maeneo mengi ya Tz na Duniani!

Bila kuwa mnafiki nimeshtushwa na mienendo ya mahubiri yanayorushwa live pale yanapogusia SIASA!

Iliianza Jumapili iliyopita Mch.Masai alipowalaani wote, aliwaita wachache wanaompinga Rais Magufuli.

Leo ibada ya jioni Mch wa Kijitonyama ameliambia Taifa, kuwa Kuna kabila moja tu lenye roho ya maendeleo nalo ni wachaga!...na kwa kuwa Rais Magufuli analeta maendeleo Basi yeye ni damudamu na Wachaga...na ile minong’ono kuwa JPManawsbagua Wachaga SI kweli!

Ameendelea kubainisha kuwa Wachaga hawapendi SIASA na ukiona Mchaga yupo kwenye Siasa huyo anazuga!?

Jana asubuhi ktk mahubiri yake alisema kuwa Kanisa lilifunga ili Tz ipate Rais mpenda haki na Mungu alijibu maombi ya Kanisa!

Akahitimisha kuwa wanaolia maisha magumu ni wale waliokuws wanaishi kwa wizi!

Nimejiuluza maswali mengi Sana:
Je, Kama KKKT wanajua ibada hizo zinaonekana nchi nzima, wamekubali pia maudhui ya Hawa wachungaji yaenee nchi nzima?!

Je, huu ni MSIMAMO wa Kanisa, DAYOSISI ya MASHARIKI au ni mawazo yao Hawa ndugu!

Kama Kanisa mnawaweka fungu gani waumini wenu?

Mch Kimaro anaposema tukiwaona Wachaga kwenye Siasa tujue wanazuga, wanazuga ili iweje? Wanatafuta Nini kwenye hayo aliyoita MAIGIZO!!?

USHAURI WA BURE:
KKKT KUWENI MAKINI NA MASUALA HAYA MNAYOONANI MADOGO.

..KAMA MCH. KIMARO NA MATSAI NDIO MNAONA WANAIBRAND KIROHO KKKT, BASI WAFUNGENI GAVANA YA KIBURI

...HIVI NI LAZIMA KUWAPA AIRTIME KIJITONYAMA PEKEE KWENYE MAHUBIRI, MBONA KUNA WACHUNGAJI WENGI WANAOJUA KUHIBIRI NA KUFUNDISHA?

...JITAHIDINI MSITENGENEZE MANABII NA MITUME NDANI YA KKKT MTAJUTA!
KWA TAARIFA YENU

...TULIOCHANGIA UPENDOTV.
...Ndio sisi ndugu na jamaa wa akina Tundu Lissu, Ben Saanane na wengine!

..ni sisi watumishi wa serikali ambao hatujapandishiwa mishahara kwa miaka minne,

...NI sisi ambao tunamkosoa Rais tunapoona anatenda ndivyo sio '!

...Sisi mliotufundisha haki huinua Taifa.

SAMAHANI KWA UANDISHI, NINA JAKA MOYO LA KIROHO!
Huyo Kimaro nimemdharau sana baada ya kuona huko kujipendekeza kwake. He is after 💰.
Asijali watamwona tu. Mbona Dr Bana walimbania lakini wameachia?
Mahubiri yake hayawezi kuwa official position ya KKKT. Never!
 
Kweli kabisa
Na sijui kwann amekumbwa na MTEGO huu, wa kutumika kisiasa.
Hakuna kitu kitakachomshusha kama hichi..maana hapa anapoteza wasikilizaji wengi sana
Asimame katika neno...akijua wasikilizaji wake ni watu wa makabila mbalimbali,rangi tofauti.. na wenye misimamo tofauti ya kisiasa....au wasio na upande wowote wa kisiasa wanakosimamia...Ananibariki sana kwenye vipindi vyake vya Morning Glory...ila aachane na kuzungumza siasa na ukabila....
 
Yule wa kimara ndo hopeless kabisa , eti juzi alimwalika Tulia, ambaye amefanya tambiko kule mbeya LA kuizika chadema.

Hawa vijana wasipotubu mwisho wao mbaya unakuja kwa kasi
Tunachoshukuru sisi waislam sio wanafiki kabisa,na hatuuwezi unafiki kabisa.Ingelikuwa huku kwetu tusingesumbuka na huo msikiti tungemuachia mwenyewe na tunaweza kweli wala sio unafiki lakini tofauti na kwenu hapo kanisani ndio kwanza wengine watakwenda kwa kufuata huo unafiki
 
Dini ni siasa ya kale iliyovishwa joho la utukufu wa Mungu wa uongo asiyethibitishika.
 
Back
Top Bottom