Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,430
- 21,082
I can't share her, hua napasha kiporo.Would you mind sharing her contacts?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I can't share her, hua napasha kiporo.Would you mind sharing her contacts?
Kweli kabisa...Kinapotea sababu wanawake wenye thamani wanapotea pia
Huwezi kuwa busy kuhonga wakati kuna watu wanakula kijinga jinga
Ila ukipata mwanamke mwenye thamani yake kuhonga itakuja automatic tu bila hata kuombwa na mtu unless uwe mchoyo kweli kweli na mbinafsi
Leo hii wanaume wanajisifu kulala na mwanamke bure bure kama ambavyo mwanawake wanakaa salon kujisifu kuwa na mabwana wawili watatu..
Gender war ipo sababu wanaume wamekuwa irresponsible tofauti na zamani,wanawake wameshuka thamani tofauti na zamani..
Wanaume wakiulizwa kwanini hawahudumii wanasema utahudumia wkt wenzako wanakula bure wanawake wakiulizwa why wamekuwa vicheche wanasema wanaume wamekuwa madume suruali wanajaribu jaribu jali kupata mwanaume anayejua kufanya majukumu yake..
Cost sharing au sio?Habari wadau
Mimi nakumbuka nilionga sana ada yangu alafu kuirudisha ikawa shida nikauza vitu vyangu vya getto
Nikamaliza chuo nikapata kazi sehemu nikawa nahonga mshara wangu nusu kama fungu la kumi lakini bada ya kuteswa na mahusiano na kugundua kuwa wanawake ni waongo na walafi sikuizi sihongi kabisa ata yakutolea
TAFUTA WAKUSAIDIANA NA SI WAKUMSAIDIA
Moja ya comment pumba tangu jf ianzishwe,yaan una prove uanamme wako kwa kuhonga!!!!!!!!!!!!Pole sana.
Lakini wenzake wanaojua maana ya "uanaume" bado wanatoboka.
Sasa mwanaume si anatafuta pesa.Moja ya comment pumba tangu jf ianzishwe,yaan una prove uanamme wako kwa kuhonga!!!!!!!!!!!!
Natafuta pesa sana tu,ila ni zangu kwa matumizi na kutimiza malengo yangu na wewe(msichana/mwanamke) tafuta zako ,maana na wewe una akili,elimu na mikono ya kukuwezesha kutafuta zako....tusileteane ujambaziSasa mwanaume si anatafuta pesa.
Halafu nyinyi kizazi cha sasa hivi mnajijaza ujinga na visngizio kibao.
Embu tafuteni pesa wadogo zangu.
Nami natafuta zangu.Natafuta pesa sana tu,ila ni zangu kwa matumizi na kutimiza malengo yangu ...na wewe(msichana/mwanamke) tafuta zako tusileteane ujambazi
Kuhonga ni ujinga mpenz wanguSasa mwanaume si anatafuta pesa.
Halafu nyinyi kizazi cha sasa hivi mnajijaza ujinga na visngizio kibao.
Embu tafuteni pesa wadogo zangu.
Kuhonga ni uanaume wewe mbaba.Kuhonga ni ujinga mpenz wangu
Na zako unatumia wewe na nani ,au tunafanya cost sharing?Nami natafuta zangu.
Hadi hapa natafuta.
Lakini za kwako lazima nizitumie
Sifa za kijingaKuhonga ni uanaume wewe mbaba.
Mwanaume hutakiwi kujua matumizi ya pesa zangu.Na zako anatumia unatumia wewe na nani ,au tunafanya cost sharing?
Okay,na wewe unakua ume offer nini kama hela zangu tu ndo zinatumika kwenye hayo mahusianoMwanaume hutakiwi kujua matumizi ya pesa zangu.
Embu kaa na baba wakubwa wakuelekeze
Wewe kama hujui mchango wangu kwenye hizo hela zako basi ni msiba.Okay,na wewe unakua ume offer nini kama hela zangu tu ndo zinatumika kwenye hayo mahusiano
Mimi falsafa yangu ni tumeunganishwa na mapenzi tu,kila mtu asake pesa zake au tufanye cost sharing... sitaki liability za kiboya
Ha ha haa ,aisee umenichekesha kwamba kichwa unakituliza wewe na hiyo nayotoa ndo consultation fee?vipi na Mimi nikikutuliza utanilipa?Wewe kama hujui mchango wangu kwenye hizo hela zako basi ni msiba.
Kichwa kikitulia sidhani kama utaweza kutafuta hela.
Nani sasa anakituliza hicho kichwa zaidi yangu.
Baba there is no way ukaescape liability.
Majukumu ndo yanayomtofautisha binadamu wa kiume na mnyama wa kiume.
SawaKuhonga ni uanaume wewe mbaba.