KIWIRA na MCHUCHUMA: A Campaign To Reclaim...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,462
39,928
Kiwira bado kuzalisha megawati 200

2007-06-24
Na Radio One Habari

Mgodi wa Makaa ya mawe wa Kiwira mkoani Mbeya, bado haujaanza kuzalisha megawati 200 za umeme licha ya awamu ya kwanza ya mradi huo kupangwa kukamilika mwezi ujao.

Kwa mujibu wa mkataba wa miaka 20 wa kuzalisha umeme wenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 340 awamu ya kwanza ya umeme wa megawati 50 ulipangwa kukamilika mwezi ujao.

Hii ni kwa mujibu wa mkataba huo kati ya serikali, Mgodi huo na Shirika la Umeme hapa Nchini TANESCO ambapo mgodi ulikuwa uanze awamu ya pili ya kuzalisha megawati zingine 100 za umeme mwezi Novemba mwaka huu.

Hata hivyo ujumbe wa TANESCO ulipotembelea mgodi huo wataalamu walisema kwa mwendo uliopo, huenda mradi huo ukachukua miaka mingi kukamilika kinyume na matarajio ya serikali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mgodi Bw. Evance Mapundi amesema mchakato wa kuwatafuta wakandarasi umekamilika na kwamba awamu ya kwanza ya ujenzi wa mradi huo wa kuzalisha megawatt 50 utaanza Mwezi Septemba na kukamilika baada ya miezi kumi na nane.


SOURCE: Radio One


My take:

We need to know who did what and where are they now!? Kama watu walidhania IPTL na RDC kuwa ni majinamizi ya mikataba, here comes Mchuchuma na Kiwira!!
 
wataibuka kwa nguvu tena uchaguzi ukifika. Kuna mtu alipendekeza somewhere gazetini kuwa ile nchi bora kuwe na uchaguzi kila mwaka maana bila uchaguzi hatufanyi kitu.
 
Hebu ngoja tufanye jitihada ya kupata mikataba ya Mchuchuma na Kiwira waliyoingia na Tanesco au na wawekezaji..
 
..tunahitaji wind Energy solution sasa maana technology ya wind power ni nzuri sana sasa na cost zake kiuchumi hazina tofauti sana na gas na ni nzuri kuliko oil or hydro,i wish wangeanzisha research center ya wind power maana haya mafuta ya $100 hatuyawezi tena na hizo coal zitatuchafulia hewa tuu
 
Mradi wa mchuchuma umejaa siasa nyingi sana. haujaanza leo. Alnoor Kassum alipoteza kazi yake kama waziri wa madini na nishati in the 1980s kutokana na mradi huu huu. According to reliable sources za wizara ya nishati, treasury na NDC, tatizo kubwa na kikwazo kikubwa katika hu mradi ni kwamba World Bank hauutaki. Just as they rejected mradi wa TAZARA[world bank waliogopa kiwanda cha firestone kitakufa kutokana na matairi ya malori kukosa mkt...Tazara inge replace usafirishaji wa mizigo malawi, zambia...na pia hawakupenda idea ya reli ya 'uhuru'], world bank huu pia hawautaki kwa sababu kubwa tatu. Moja, walichelewa kuupata as a pjct to finance, private financiers walishauwahi; pili, world bank wanaogopa kuji contradict na msimamo wao wa environmental issues whereby coal energy pollutes heavily. Tatu, World Bank wame finance mradi wa songosongo so lazima ulipe kwanza before umeme wa makaa ya mchuchuma kuanzishwa. Umeme huu wa mchuchuma ni a threat to songosongo sababu ni a cheaper alternative. Kinachoendelea sasahivi ni kujaribu kupata private financiers ambao world bank hawatawatetemesha. As of today, Greenaker LTA na Siemens ndio wameushika na inasemekana wanautumia kama collateral to finance their many other projects huku watanzania wakipaa taabu.

Umeme wa kiwira ni good news lakini TANPOWER RESOURCES ya kina mkapa na yona will not survive for long, esp after 2015. Huu mradi ni mzuri lakini owners ni illegal by all means. haukupitia tendering process bali ulikwapuliwa na mbaya zaidi kina yona na mkapa hawajalipia hata shillingi moja kuupata. walipewa bure. This will be a political test in the near future for kikwete au new president 2015. Mbaya zaidi, wanyakyusa bado hawajaelewa nini kinaendelea kwenye ardhi yao. time will tell.
 
Mheshimiwa Rais, nchi yetu imekuwa kaitika vipindi vigumu kwa muda mrefu. Kwa bahati mbaya magumu mengi yamekuwa ni ya kujitakia na Serikali imekuwa ikikaa kimya kuonyesha kuridhika na taabu ambazo Wanachi wanazipata na ambazo zinaweza kurekebishika. Mfano mzuri ni ujanja wa Rais mstaafu Mkapa kuamua kujimilikisha Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira (KCM) kwangu mimi huu ni UFISADI tunaoufumbia macho kwa kuwa ni utovu mkubwa wa matumizi ya nafsi ya Urais tuliyompa maana wakati anafanya kujimilikisha kwa kushirikiana na aliyekuwa Wazir wa Nishati na Madini (Daniel Yona).

HAdi sasa si Mkapa, Yona wala wakili wao aliyekanusha hili na seriakli yako haijasema chochote. Tunataka turudishiwe KCM.


-Following the paper trail in chronological order

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A PAPER trail left behind after the controversial privatisation of the state-owned Kiwira Coal Mine in 2005 has unearthed evidence of obvious abuse of office by former president Benjamin Mkapa and his energy and minerals minister Daniel Yona.

Painstaking investigations by THISDAY have succeeded in unravelling the intertwining interests of the two once all-powerful politicians and their immediate families in this apparently-lucrative but astonishingly-secretive deal.

For chronological purposes, the beginning of the story can be traced back to 1999, when Mr Mkapa and first lady Anna Mkapa founded a private company called ANBEM Limited while they were still occupying public office at State House.

This company would in late 2004 enter into a partnership with another private company, DEVCONSULT Limited, in which Yona and his son are sole shareholders, to establish Tanpower Resources Limited.

They were joined in the Tanpower Resources shareholding structure by at least three more companies, two which were Fosnik Enterprises in which the ex-president’s son Nicholas Mkapa and his wife Ms Foster (Mbuna) Mkapa are sole shareholders and Choice Enterprises whose majority shareholder is Nicholas’ father-in-law Joseph Mbuna.

And hardly six months after its formation, the seemingly obscure Tanpower Resources swiftly moved in to take over the Kiwira Coal Mine - with very few people in government actually aware of the real, powerful forces behind the company.

Following is a chronology of official events and happenings, backed by a paper trail of evidence, that suggest a planned and systematic abuse of public office by people perched at the very top of government, culminating in the takeover of the potentially very rich (and formerly state-owned) Kiwira Coal Mine in Mbeya Region:

June 22, 1999

While serving as sitting president and first lady of the United Republic, Mr and Mrs Mkapa officially registered ANBEM Limited in Dar es Salaam as a private company in which they were sole directors, shareholders and 'entrepreneurs', as described in the company documents.

Among other things, the stated objectives of ANBEM Ltd include: "To carry on business and to act as merchants, general traders, warehouse, stockists, shopkeepers and operators of supermarkets, commission agents and carriers."

From 1999 to 2005 - when Mr Mkapa completed his second and final term in office as per national constitution the private business affairs of ANBEM Ltd were conducted from registered offices at Plot Number 15, Luthuli Road, which is a building within the official State House walls in Dar es Salaam.

July 2002

When ANBEM Limited was three years old and with its sole shareholders still occupying public office at Ikulu - the company applied for and was granted a loan of $500,000 (approx. 650m/-) from the National Bank of Commerce (NBC) Limited. This loan came on the heels of a heated national debate over the privatization of the previously state-owned bank, which was fiercely opposed, amongst others, by the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, until his death in 1999.

Several members of parliament from both ruling and opposition parties were also strongly against the bank's privatization, arguing that the once-giant national institution was being sold off far too cheaply. But as eventually transpired, the privatization of the then NBC (1997) Ltd still went ahead as scheduled, with the formation of NBC Ltd in April 2000 and acquisition by South Africa's ABSA Group of 70 per cent of the bank's shares - for a reported total price of just 15bn/-.

Records will show that Mr Mkapa, as sitting president, was always a vocal supporter of the bank's privatization process resulting in its takeover by ABSA Group - whose direct association with NBC actually began in August 1999 when the South African firm effectively started managing the bank at the request of the third phase government under Mr Mkapa.

December 2002

A few months after securing the NBC Ltd loan, ANBEM Ltd landed another big credit-line in the form of a 250m/- loan granted by CRDB Bank Limited. During the same year, the then president Mkapa announced a cabinet reshuffle which included the appointment of senior cabinet minister Daniel Yona to head the crucial energy and minerals portfolio.

As the minister for energy and minerals, Yona’s duties included overseeing the then still state-owned Kiwira Coal Mine Limited, and coordinating its pending privatisation process.

December 29, 2004

The registration of Tanpower Resources Company Limited - a private company formed as a joint brainchild of then president Mkapa and energy and minerals minister Yona is completed, with its stated objectives including to carry on the business of miners of coal and iron; to process such coal and iron and generally treat, prepare, render marketable, sell and dispose of such coal and iron or by-products resulting therein in their raw or manufactured state.”

The company is also licensed to ”deal with coal mining in order to generate electricity for consumption and sale; to generate power generators, transmitters and general distributors; and to provide power and general projects management, project appraisers and consultants.”

At the time of its registration, the first listed directors of Tanpower Resources were the then first lady Mrs Anna Mkapa; the then minister for energy and minerals Daniel Yona; Nicholas Mkapa (the president and Mrs Mkapa’s son); Joseph Mbuna (Nicholas Mkapa’s father-in-law); and one Evans Mapundi. Mrs Mkapa sat on the board as a representative of ANBEM Limited: Yona from DEVCONSULT Ltd; Mkapa junior from Fosnik Enterprises; Mbuna from Choice Enterprises; and Mapundi representing yet another company, Universal Technologies Limited, in which he shares ownership with one Wilfred Malekia.

During this period, Mr Mkapa and Yona - through their positions in government - were deeply and directly involved in the pending privatisation of the Kiwira Coal Mine.

Mid 2005

Tanpower Resources enters into a joint venture with the government and acquires 70 per cent of the shares in Kiwira Coal Mine. The private company later increases its shareholding in the coal mine to 85 per cent, leaving the government with just 15 per cent.

The president’s son, Nicholas, is appointed a member of the renamed Kiwira Coal and Power Limited company board of directors, while his father-in-law Joseph Mbuna becomes board chairman. Other shareholders of Tanpower Resources, Wilfred Malekia and Evans Mapundi, are also named on the new Kiwira board.

The privatised Kiwira Coal and Power Ltd is also given control of the Kabulo coal prospect, a separate additional area owned by the government with proven lucrative coal deposits. The State Mining Corporation (STAMICO), a government-owned agency, is kicked out of the Kabulo project which has proven reserves of up to 14 million tonnes of coal.

December 2005

President Mkapa retires from office at the end of his final two terms in office, as per national constitution. Yona also announces his retirement from active politics.

March 2006

On the basis of fast-tracked negotiations already concluded by the Mkapa administration, the fourth phase government under President Jakaya Kikwete signs a 20-year deal worth all of $271m (approx. 340bn/-) with the Kiwira coal-fired power project. But government officials now privately tell THISDAY that the contract, which is basically between Kiwira Coal and Power Limited and the Tanzania Electric Supply Company (TANESCO), is steeped in controversy and dubious details - and could end up being an expensive quagmire for the national economy on a scale even worse than the infamous IPTL affair of 1995.

August 2007

THISDAY begins publishing exclusive reports on the Mkapa-Yona link in the Kiwira coal project. The Tanpower Resources file, which had been missing in public records, mysteriously resurfaces, but with a one-page resolution now inserted inside which purports to show that ANBEM Ltd (the company owned by the ex-president and his wife) forfeited its 200,000 shares in Tanpower Resources on January 10, 2005.

However, the former president’s son Nicholas continues to sit on the Kiwira board, while Yona - who started Tanpower Resources with Mkapa senior in 2004 - also remains a shareholder. According to our highly-placed sources, ANBEM Ltd has since regained its shares in Tanpower Resources - and is still a major shareholder todate.


WITO:
Wito wangu kwa wana JF ni kuwa tufanye kampeni hii mali yetu (KCM) irudishwe!
 
Mheshimiwa Rais, nchi yetu imekuwa kaitika vipindi vigumu kwa muda mrefu. Kwa bahati mbaya magumu mengi yamekuwa ni ya kujitakia na Serikali imekuwa ikikaa kimya kuonyesha kuridhika na taabu ambazo Wanachi wanazipata na ambazo zinaweza kurekebishika. Mfano mzuri ni ujanja wa Rais mstaafu Mkapa kuamua kujimilikisha Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira (KCM) kwangu mimi huu ni UFISADI tunaoufumbia macho kwa kuwa ni utovu mkubwa wa matumizi ya nafsi ya Urais tuliyompa maana wakati anafanya kujimilikisha kwa kushirikiana na aliyekuwa Wazir wa Nishati na Madini (Daniel Yona).

HAdi sasa si Mkapa, Yona wala wakili wao aliyekanusha hili na seriakli yako haijasema chochote. Tunataka turudishiwe KCM.



Wito wangu kwa wana JF ni kuwa tufanye kampeni hii mali yetu (KCM) irudishwe!

Ibrah, wazo lako ni zuri sana, wasi wasi wangu sijui hii kampeni yaweza fanyikaje? Nilisha uliza huko nyuma kwamba jamani hata hii mikataba mibovu ambayo wote tunaishuudia hata huu wa Buzwagi ambayo haijaanza ( kwa maana kwamba muwekezaji hajatumia pesa yake) hatuwezi izuia?? Jibu nililo pata lilinimaliza kabisa, kwamba hapa tumeisha saini mkataba! na hicho ndo kitanzi kinacho tumaliza! sasa na hili la kiwira, mkataba ulisha sainiwa sasa hapo ndo naona giza tupu! na kuishiwa nguvu na matumaini ya kampeini inayo weza fanyika na ikaleta nuru mpya!
 
Ibrah, clearly you're misdirecting your appeal. That will never happen under this regime; or indeed any CCM regime.

Remember the 100 billioneas? How many such monied fellows do you count under Kiwira? Forget about how those billioneas come about.

We are under a similar Oligach system such as that of Russia. So sit back and awe, if you cannot join them.

I'll never understand why, or rather what led such an intelligent fellow as Mkapa act so stupid!
 
Right now huo mgodi sijui unaoperate vipi last week wametuletea mkaa una matope tukaurudisha kama ulivyo?Sisi huwa tunaconsume more than 100 tones daily.
This is totalyy lack of seriousness pale kiwila as a result mkaa unaagizwa toka South!!!!!!!
 
JK hana ubavu wa kurudisha Kiwira, kwani alishasema mwachni mzee wa watu (BM)apum,zike. Nae pia akawajibu waandishi wa habari kuwa amepumzika siasa.
 
Right now huo mgodi sijui unaoperate vipi last week wametuletea mkaa una matope tukaurudisha kama ulivyo?Sisi huwa tunaconsume more than 100 tones daily.
This is totalyy lack of seriousness pale kiwila as a result mkaa unaagizwa toka South!!!!!!!

...si unajua walikurupuka tuu wakatumia nguvu zao wakajipatia huo mgodi bila utaalam wowote na sasa ndio deal tunayopata,yaani ni hasara juu ya hasara huku tukiendelea kuharibu dola kuagiza hayo makaa huku yetu yamejaa kila kona,wapumbavu sana hawa na tamaa zao,sijui wanapata nini sasa zaidi ya aibu tuu!
 
Ibrah, wazo lako ni zuri sana, wasi wasi wangu sijui hii kampeni yaweza fanyikaje? Nilisha uliza huko nyuma kwamba jamani hata hii mikataba mibovu ambayo wote tunaishuudia hata huu wa Buzwagi ambayo haijaanza ( kwa maana kwamba muwekezaji hajatumia pesa yake) hatuwezi izuia?? Jibu nililo pata lilinimaliza kabisa, kwamba hapa tumeisha saini mkataba! na hicho ndo kitanzi kinacho tumaliza! sasa na hili la kiwira, mkataba ulisha sainiwa sasa hapo ndo naona giza tupu! na kuishiwa nguvu na matumaini ya kampeini inayo weza fanyika na ikaleta nuru mpya!

Tukiiangusha serikali ya SISIEMU na kuunda mpya yenye Bunge jipya tutawashitaki SISIEMU na Kampuni zao kwa kula njama ya kutuibia kwa kupindisha sheria.
Huo ndo wakati ambao hakuta bakia jiwe juu ya jiwe la himaya ya SISIEMU.

Kamwe Hakuna jambo lisilo wezekana. "Think Out of The ZIZI/WIGO"
 
... hii mali yetu (KCM) irudishwe!

Tokea lini mali ya dola ikawa mali ya wanachama wa JF? Hata kama unamaanisha "mali ya taifa": huo ni msemo tu ulio na "symbolic meaning" kwenye "political rhetoric" na ambao hauna maana yoyote halisi.

Kama ulikuwa hujui: maana halisi ya "mali ya dola" haswa kwa nchi za kiafrika na nyinginezo kibao za dunia ya tatu mara nyingi inamaanisha "mali ya watawala na familia sao." Na amini usiamini, hili suala la Mkapa na Yona kutaifisha mgodi wa Kiwira ni mfano mzuri sana unaothibitisha ukweli huu.
 
Ibrah, umetoa wazo linalowezekana; ngoja niongeze utamu niiweke iwe hoja mwanana ambayo watawala watashtuka! Asante...
 
Mradi wa mchuchuma umejaa siasa nyingi sana. haujaanza leo. Alnoor Kassum alipoteza kazi yake kama waziri wa madini na nishati in the 1980s kutokana na mradi huu huu. According to reliable sources za wizara ya nishati, treasury na NDC, tatizo kubwa na kikwazo kikubwa katika hu mradi ni kwamba World Bank hauutaki. Just as they rejected mradi wa TAZARA[world bank waliogopa kiwanda cha firestone kitakufa kutokana na matairi ya malori kukosa mkt...Tazara inge replace usafirishaji wa mizigo malawi, zambia...na pia hawakupenda idea ya reli ya 'uhuru'], world bank huu pia hawautaki kwa sababu kubwa tatu. Moja, walichelewa kuupata as a pjct to finance, private financiers walishauwahi; pili, world bank wanaogopa kuji contradict na msimamo wao wa environmental issues whereby coal energy pollutes heavily. Tatu, World Bank wame finance mradi wa songosongo so lazima ulipe kwanza before umeme wa makaa ya mchuchuma kuanzishwa. Umeme huu wa mchuchuma ni a threat to songosongo sababu ni a cheaper alternative. Kinachoendelea sasahivi ni kujaribu kupata private financiers ambao world bank hawatawatetemesha. As of today, Greenaker LTA na Siemens ndio wameushika na inasemekana wanautumia kama collateral to finance their many other projects huku watanzania wakipaa taabu.

Umeme wa kiwira ni good news lakini TANPOWER RESOURCES ya kina mkapa na yona will not survive for long, esp after 2015. Huu mradi ni mzuri lakini owners ni illegal by all means. haukupitia tendering process bali ulikwapuliwa na mbaya zaidi kina yona na mkapa hawajalipia hata shillingi moja kuupata. walipewa bure. This will be a political test in the near future for kikwete au new president 2015. Mbaya zaidi, wanyakyusa bado hawajaelewa nini kinaendelea kwenye ardhi yao. time will tell.

You can be a very good "african brainwashed" politician! Penye njia pana njia, miradi unayoisema wewe kwa dunia ni midogo sana, na ina-cost negligible kwa standard ya dunia hata hapa africa. Hebu jiulize ile hydro-power project ya mto Congo ina-cost vipi environment? Ile ya Amazon, Ile ya China upper Yangze River, Billion and billions of dollars.
Halafu unaongelea TAZARA na Firestone, my god! Hivi unajua kuwa Africa trade share duniani ni less than 2percent, nani itamtetemesha malawi wasiponunua matairi hayo? World Bank?
Multinationals are making money and busy with China, India, Brazil, where value of their investments are paying fast! Hivi uliza Siemens wana power plants ngapi China? And are going strong! Collateral? Give me a break, Land? Gold mmmmmmmm!! Let us read the books and references before commenting!! Here I mean, viongozi wetu pamoja na mengi hawana nia na njia ya kuhamasisha such investments.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom