atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Acha kutukana babu au ndio albadiri ndio imeanza kufanya kazi,ww kama hauusiki kaa utulie sio kutuletea povu lako hapaacha upashikuna nilichoongea mwanzo mkaanza shambulia si kwamba kilichompata lissu ni kizuri somehow yeye mwenyewe alishatambua na alijitoa mhanga.. nyie wapumbavu ndio mmekaza ati nafurahia kuumizwa lissu... mimi ndio maana nawaita mashahidi wa uongo... shuhudia mtu alichosema na sio upumbavu na ushabiki maandazi... wajalaana nyie