kiwewe cha waziri Mkuchika

Imekuwa kama vile serikali ya Kikwete ni serikali yenye mikosi vile, kwa maana kila jambo wanalojaribu kulifanya hawaachi kukosea.wakitaka kuboresha Elimu ya juu wanakosea,wakitaka kuboresha michezo wanakosea,yaani wao kazi yao ni kukosea tuu kila siku!

jana wakati akiongea na wafanyakazi wa TBC yaani shirika linalojaribu kuwa la habari Tanzania, kwa sababu mpaka sasa ni kama vile ni shirika la habari la CCM, Waziri wa Habari George Mkuchika alisema mambo mawili yaliyonichanganya hadi kutaka kutafiti kwa wana JF.

kwanza alisema kuwa CNN ni shirikal la habari linalomilikiwa na serikali ya Marekani kitu ambacho najua si sahihi. Sasa kama kuna mtu ana ushahidi kwamba CNN ni shirika la habari linalomilikiwa na serikali ya Marekani anitoe tongotongo!

Pili mkuchika anadai kuwa Mao Tse Tung aliwahi kusema kuwa "No investigation No right to speak" mimi nadhani mao alisema "No research No right to Speak. Sasa kama kuna mtu atatuthibitishia kwamba haya maneno mawili yaani "Research" na "Investigation" yana maana moja nitashukuru sana.

Mkuchika alikuwa anatetea dhana ya serikali kuendelea kumiliki vyombo vya habari dhidi ya hoja za wadau wengine wanaotaka serikali iviachie vyombo hivyo viwe huru na kumilikiwa na Umma.

Kigarama,

Labda hilo la CNN lakini hiyo Mao nafikiri alichosema ni sahihi hasa kama alikuwa anaongea.

Kama ni professional paper basi hapo ndio lazima kila neno liwe kama lilivyokuwa mwanzoni lakini kwenye mazungumzo ya jukwaani wala sio lazima sana.
 
Ric Feld / AP
**FILE** CNN founder Ted Turner reacts as he speaks about Gerald Levin, the former CEO of AOL Time Warner, while speaking at the CNN 25 World Report Conference in Atlanta in this Wednesday, June 1, 2005 file photo.
--------------------------------------------------------------------------------

Captain Outrageous. The Mouth from the South. The Cable Guy.

Entrepreneur and philanthropist Ted Turner has attracted his fair share of names during his life, but he's also been a trailblazer, from his founding of the all-news TV network CNN to the revival of the American Buffalo herd and now -- perhaps -- the establishment of solar energy as a viable alternative fuel. (Not that he didn't already have exquisite green credentials.)

Turner's latest venture comes after years of distancing himself from the AOL-Time Warner mega-merger, an event that that made him one of the richest men in the world and then, as the new company floundered, a very frustrated vice chairman and entrepreneur, whose historic billion-dollar stock pledge to the United Nations eroded in value.

Turner's no longer involved in Time Warner -- nor does he own a single share of the company -- but he continues in his entrepreneurial ways.

Turner bought a stake in the New Jersey-based company, DT Solar, and is bullish about the industry's prospects. "It's gonna’ be the biggest business opportunity the world has ever seen," he says. Turner, for the record, is not a proponent of corn-based ethanol.


Thinking SolarAdvanced Micr...AMD6.009-0.011-0.182,783,284Ceradyne IncCRDN39.880.40+1.01,190,061

On a less grand scale, Turner has joined the famous in becoming a restaurateur, launching the "Ted's Mountain Grill" chain, which specializes in bison meat for those health conscious consumers with a passion for burgers.

And whether it is thoughtful food or food for thought, Turner is ever ready to share his thoughts on a number of subjects from the media business to nuclear disarmament to philanthropy and moguls, particularly Oracle's Larry Ellison.

CNBC reporter Jane Wells visited Turner in Atlanta. Here are excerpts of her wide-ranging interview.



Ted Turner's New Venture
Ted Turner no longer owns a single share of Time Warner, and he said he has moved on to something much bigger. CNBC's Jane Wells interviewed Turner and has the details.
Tues. Mar. 6 2007 | 8:20:00 AM [04:06]



What's Firing Up Ted Turner?
Ted Turner is investing in solar power and restaurants, CNBC's Jane Wells reports.
Tues. Mar. 6 2007 | 1:46:00 PM [02:49]

© 2008 CNBC, Inc. All Rights Reserved


Source:

http://www.cnbc.com/id/17480880

Plus he owns 15 ranches in 7 states(approximately 2 million acres)...
 
Sihoni chembe za kiwewe cha Mkuchika. Ila naona jitihada za makusudi za Kigarama katika kuchimba uchafu wa maneno ya Mkuchika na hivyo kumpaka tope kwa kulazimisha.

Kigarama, neno kumiliki ni neno la kufikirika na laweza kuwa na maana tofauti katika mazingira tofauti. Ukiniuliza endapo Tz tunamiliki madini na mali asili yalivyo ndani ya Tz, nitakujibu HAPANA, ukimuliza mwingine anaweza kukujibu NDIO. In short, influence inapokuwa kubwa ownership inapoteza umaana wake. Hivyo basi kama Mkuchika ameona kwamba influence ya serikali ya Marekani kwenye contents za CNN ni kubwa, ana kila sababu ya kusema kwamba CNN inamilikiwa na serikali ya Marekani.

Kadhalika naona unajaribu kumsulubu Mkuchika kwa maneno ya Mao ambayo kwangu naona kayatumia ipasavyo, given hakuwa anasoma moja kwa moja maneno ya Mao kutoka kitabuni.

NO research No right to speak, No investigation no right to speak, kwa content aliyokuwa anazungumzia sentensi hizo zina maana moja. Maana ni kwamba kama huna ushahidi wa kisayansi au uliopatikana kwa njia za kisayansi huna haki ya kusema. Sasa ushahidi wa kisayansi waweza kupatikana kwa research au investigation.

JF napaheshimu, ila naomba tujitahidi kukosoa kile kinachokosoleka.

MgonjwaUkimwi, don't dance around with words na kujaribu kupotosha maana. Kumiliki si neno la kufikirika hata kidogo. Kumiliki ni neno halisi na liko kwenye misamiati, kanuni, sheria, historia na mengineyo mengi katika lugha. Maneno kama utapeli, madongo, mipasho, ki-papai, n.k. ndiyo unaweza kusema ni maneno ya kufikirika. Hata hivyo hayo mengine tayari yanaingia kwenye misamiati, sheria, kanuni n.k. katika lugha.

Umiliki ni Ownership (kwa lugha ya wenzetu) na siyo kuwa na influence. Ownership is not synonymous to Influence, and vice versa.

Kuwa na influence katika suala lo lote hakukupi 'umiliki' wa hicho kitu. CCM ina influence katika maisha ya wa-Tanzania wengi haina maana kuwa inawamiliki wa-Tanzania wengi.

Tukirudi kwenye kauli za Mkuchika, nakubaliana nawe kuwa si sawa ku-split the hair katika kauli za viongozi ili kuona makosa yao. Ila kama kauli anaitoa kama njia ya kuendeleza policy au kuleta sera mpya, basi ni halali kuzipa uzito kauli na maana ya kauli hizo.
Kama ambavyo alivyosema Mkuchika "No investigation, No Right to Speak", iwe hivyo hivyo pia kwake na wenzake ""No investigation, No Right to Speak".

Part of what he said could have been proved right or wrong if he had just done that.
 
Ric Feld / AP
**FILE** CNN founder Ted Turner reacts as he speaks about Gerald Levin, the former CEO of AOL Time Warner, while speaking at the CNN 25 World Report Conference in Atlanta in this Wednesday, June 1, 2005 file photo.
--------------------------------------------------------------------------------

Captain Outrageous. The Mouth from the South. The Cable Guy.

Entrepreneur and philanthropist Ted Turner has attracted his fair share of names during his life, but he's also been a trailblazer, from his founding of the all-news TV network CNN to the revival of the American Buffalo herd and now -- perhaps -- the establishment of solar energy as a viable alternative fuel. (Not that he didn't already have exquisite green credentials.)

Turner's latest venture comes after years of distancing himself from the AOL-Time Warner mega-merger, an event that that made him one of the richest men in the world and then, as the new company floundered, a very frustrated vice chairman and entrepreneur, whose historic billion-dollar stock pledge to the United Nations eroded in value.

Turner's no longer involved in Time Warner -- nor does he own a single share of the company -- but he continues in his entrepreneurial ways.

Turner bought a stake in the New Jersey-based company, DT Solar, and is bullish about the industry's prospects. "It's gonna’ be the biggest business opportunity the world has ever seen," he says. Turner, for the record, is not a proponent of corn-based ethanol.


Thinking SolarAdvanced Micr...AMD6.009-0.011-0.182,783,284Ceradyne IncCRDN39.880.40+1.01,190,061

On a less grand scale, Turner has joined the famous in becoming a restaurateur, launching the "Ted's Mountain Grill" chain, which specializes in bison meat for those health conscious consumers with a passion for burgers.

And whether it is thoughtful food or food for thought, Turner is ever ready to share his thoughts on a number of subjects from the media business to nuclear disarmament to philanthropy and moguls, particularly Oracle's Larry Ellison.

CNBC reporter Jane Wells visited Turner in Atlanta. Here are excerpts of her wide-ranging interview.



Ted Turner's New Venture
Ted Turner no longer owns a single share of Time Warner, and he said he has moved on to something much bigger. CNBC's Jane Wells interviewed Turner and has the details.
Tues. Mar. 6 2007 | 8:20:00 AM [04:06]



What's Firing Up Ted Turner?
Ted Turner is investing in solar power and restaurants, CNBC's Jane Wells reports.
Tues. Mar. 6 2007 | 1:46:00 PM [02:49]

© 2008 CNBC, Inc. All Rights Reserved


Source:

http://www.cnbc.com/id/17480880

I believe you Mwafrika...
You are my favorite jamboforums person...
 
Sielewi hivi kunamjadala gani hapa!!!!!!!!!!.
mwongozo wa JF .Niupitie kidogo
 
Vuta pumzi mkuu utajua kinachoendelea!

Ahaa nimevuta pumzi mwongozo nimeupitia!!!! na nilichojitahidi kudodosa ktk maada hii kwangu naona mambo haya-

1. Hawa viongozi wetu wawe wabunifu sio kila kitu wanapiga DESA ,hata kama marekani wanamiliki hiyo CNN si lazima na sisi tuige "Ukiiga kwa tembo kunya mavi makubwa utapusuka....."

Na kutumia misemo pia nayo nafikiri inaenda na wakati na mahala si kila msemo unajenga mfano-

"Fisadi aliye juu tumpadilie huko juu kwa juu mpaka kieleweke"
Maana ukimsubiri fisadi chini TWAFA.

ILa kuhusu HEKAYA za huyo waziri alikua sahihi 10/10.
 
Sihoni chembe za kiwewe cha Mkuchika. Ila naona jitihada za makusudi za Kigarama katika kuchimba uchafu wa maneno ya Mkuchika na hivyo kumpaka tope kwa kulazimisha.

Kigarama, neno kumiliki ni neno la kufikirika na laweza kuwa na maana tofauti katika mazingira tofauti. Ukiniuliza endapo Tz tunamiliki madini na mali asili yalivyo ndani ya Tz, nitakujibu HAPANA, ukimuliza mwingine anaweza kukujibu NDIO. In short, influence inapokuwa kubwa ownership inapoteza umaana wake. Hivyo basi kama Mkuchika ameona kwamba influence ya serikali ya Marekani kwenye contents za CNN ni kubwa, ana kila sababu ya kusema kwamba CNN inamilikiwa na serikali ya Marekani.

Kadhalika naona unajaribu kumsulubu Mkuchika kwa maneno ya Mao ambayo kwangu naona kayatumia ipasavyo, given hakuwa anasoma moja kwa moja maneno ya Mao kutoka kitabuni.

NO research No right to speak, No investigation no right to speak, kwa content aliyokuwa anazungumzia sentensi hizo zina maana moja. Maana ni kwamba kama huna ushahidi wa kisayansi au uliopatikana kwa njia za kisayansi huna haki ya kusema. Sasa ushahidi wa kisayansi waweza kupatikana kwa research au investigation.

JF napaheshimu, ila naomba tujitahidi kukosoa kile kinachokosoleka.

kama unaanzisha mhadala ni vizuri ukiachia wengine kuuhadili kwanza na ndipo kama inawezekana kutolea maelezo.

Mimi nadhani kwanza nilijikita zaidi katika mantiki ya Mkuchika kusema aliyoyasema.kwa maneno yake mwenyewe na kwa muonekano wa vitendo vya mwili wake alionekana anaashiria kwamba wale wote wenye hoja ya kusema kwamba serikali kumiliki vyombo vya habari ni makosa basi wamechanganyikiwa

na katika kuweka nyama kwenye hoja yake hiyo ndiyo akasema kwamba CNN inamilikiwa na serikali ya marekani jambo ambalo wengi wetu humu wamekubali kwamba siyo kweli

Mkuchika ni kiongozi wa nyanja ya habari hapa Tanzania na kwa kutokujua hata mambo madogo kama haya ni kuonyesha kwamba tunaye kiongozi asiyeijua vizuri njia tunaytakiwa kuipita

Ni rahisi kutokumwamini daktari ambaye atasema kwamba kipindupindu kinasababishwa na kuumwa na mbu,kama yeye hajui CNN inamilikiwa na nani atawezaje kupanga sera bora za kuendesha vyombo vya habari tanzania?

Investigation ni uchunguzi ambao hufanywa kutafuta ukweli ambao hatimaye unaweza kutoa hukumu au kusababisha kupatikana kwa mhalifu au mtuhumiwa,wakati Research ni utafiti unaofanywa kuthibitisha mantiki za nadhari mbalimbali

ama kwa kiswahili ingekuwa "kama hujafanya uchunguzi huna haki ya kusema" au "kama hujafanya utafiti huna haki ya kusema"
 
Hivi haya yoye aliyasema ili kuhalalisha kuwepo kwa CCM ndani TBC ? Si watangaze kabisa kwamba ni mali ya CCM na watumie kodi yetu kuiendesha ? Maana mambo mengine they do openly why not hili ?
 
Back
Top Bottom