Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Wasape wanaJF nina shida kuhusu Nyumba na kiwanja Dar.
1.Ni sehemu gani nzuri zenye nafasi ambazo sio uswazi sana pazuri kwa kujenga?
2.Kiwanja low density au medium density bei gani?
3.Na estimation ya kujenga nyumba yenye kufanana na hii chini ni kama Tsh ngapi?
Naomba msinipe link nimeshazipitia zinanipa kizungu zungu naomba mawazo yenu na uzoefu wenu wa hapa mjini.
1.Ni sehemu gani nzuri zenye nafasi ambazo sio uswazi sana pazuri kwa kujenga?
2.Kiwanja low density au medium density bei gani?
3.Na estimation ya kujenga nyumba yenye kufanana na hii chini ni kama Tsh ngapi?
Naomba msinipe link nimeshazipitia zinanipa kizungu zungu naomba mawazo yenu na uzoefu wenu wa hapa mjini.
Attachments
Last edited: