Plot4Rent Tunauza Mashamba na Viwanja

Hivi mbona Wahindi hawaangaikagi na mambo ya viwanja/kujenga nyumba za kuishi ila wanamiliki biashara za maana (za thamani ya Mabiloni)? Tunakwama wapi?
Kwani wewe kujenga na ukamiliki biashara za thamani ya mabilioni kuna shida gani, ama lazima ukopi kwa Wahindi?
 
ila price kwangu ni kikwazo tu ila kweli tinatofautiana kifikili na kuona

mpuuzi mpuuzi tu
 
Mkuu Kwadilo,heshima yako kwanza.Bei 17.5 m au typing error?Ni sqm 610 tu?Kuna facilities zingine ndani ya uwanja au sifa ni title deed ipo on process/hunayo mkononi?Ina maana kiwanja mpaka sasa bado hukimiliki kisheria kwa sababu huenda/aidha Mipango Miji wakawa na matumizi ya eneo hilo,kuuzwa kwa zaidi ya mtu mmoja au kilinunuliwa lakini malipo hayajakamilishwa umeamua ku-resell tena.

Kuna kupigwa hapo wadau mkae chonjo/makini hata kama kwenye ramani kinaonekana kiwanja.

Ndio maana mimi huwa siku zote Anko Magu(Rais wa JMT) yupo sahihi kufunga mianya ya hela hovyo iliyosababisha viwanja kupanda bei.Pia kuhamisha shughuli za Ki-Serikali kuwa makao makuu Dodoma itafanya tupumue kwa bei zisizoendana na uhalisia kama hii,sqm 610 kwa 17.5 m?Ilikuwa enzi zile sasa hivi ni masikhara sheheee!!

Nunueni Viwanja Dodoma Jiji kwa ujenzi wa makazi na majengo ya biashara kwani baada ya miaka 6 ijayo Dodoma itakuwa inakimbiza kinoma.

Hahahahaha!!
Plot Description's:
It's located at salasala, majengo.
Plot size is sqm 610
It's full surveyed plot (title deed is on process)
Distance from main road is 60-80m
PRICE: 17.5M
Kindly call/SMS through 0756 832833
N.b only serious individual are needed.
View attachment 1000067View attachment 1000068

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiwanja kinapatikana KIMARA, bonyokwa.
Km 3 kutoka kimara mwisho.

MAELEZO
kiwanja kina ukubwa wa sqm 900 (meter 30 kwa 30)
Kiwanja kipo katika mazingira mazuri na kipo tambarare chote
Huduma muhimu kama Maji na umeme vinapatikana
Eneo bado halijapimwa
Price: 17m (neg)
Call/SMS: 0756 832833
For serious person only.




View attachment 1044966View attachment 1044967View attachment 1044969View attachment 1044970View attachment 1044971View attachment 1044972

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaviuza sana awamu hii na wanunuzi ndio hivyo tena.Watu wanakimbilia kununua Dodoma ndio maana ununuzi wa viwanja huko haupati Viwanja.Punguza bei Mtumishi wa Mungu naweza kukutafutia mteja fasta anahitaji kiwanja maeneo hayo huko.

Bei kubwa sana.Hakuna ujanja sasa hivi wa pesa kugaa zagaa ovyo kama enzi zetu zile.

Sala sala na Bunyokwa ni wewe tu unaviuza?We ni dalali au mmiliki?

Kama wewe ni dalali unaongeza bei mno ili upate cha juu.

Subiria wasio makini watakuja kununua.
 
Habari mkuu,
Binafsi nadhan umetoa mawazo kadri ya thinking capacity yako.
Unapotoa hoja usiwe na personal interest kwenye hilo jambo na ni vyema ukapunguza mhemko ili kuwa na thinking room ya kutosha.
Unadhani serikali kuhamia Dodoma ndio kila mtu ataenda kuishi huko?
Swala la kununua asset ni maamuzi ya mtu kulingana na kipato chake anachopata.
Kuna watu wanatafuta viwanja masaki, mikocheni, msasani kwa offer mpaka za 200m,250m na bado hawapati, jiulize kwanin?
Katika maisha siku zote ni vyema ukaangalia wapi unapopaweza na wapi ambapo hufiki ili usiumize nafsi yako.
Sawa kiongozi.Ila msiwe mnapandisha sana bei kwani nyie madalali hamshindwi kitu kwa kuvizia10%.Jiulize,watu/madalali msio na haya mnavamia na kuuza maeneo ya jeshi kwa utapeli(hujawahi kusikia raia wamevamia eneo la jeshi?) sembuse wewe dalali uliye nyuma ya keyboard na lugha nzuri/mororo kama demu wa Ki-ngazija ushindwe kweli kumshughulikia mnunuzi kiutapeli?

Sina hamu na nyie wadudu mnaojiita madalali,ovyo kabisa nyie.

Ni kiwanja kipi umepata mteja?Cha Bunyokwa au Salasala?

Njoo inbox tuyajenge ili nikuletee mteja aje achukue/anunue kiwanja uache kumbwela mbwela humu jamvini.

Mkuu,tupo pamoja au?
 
Kiwanja kinapatikana KIMARA, bonyokwa.
Km 3 kutoka kimara mwisho.

MAELEZO
kiwanja kina ukubwa wa sqm 900 (meter 30 kwa 30)
Kiwanja kipo katika mazingira mazuri na kipo tambarare chote
Huduma muhimu kama Maji na umeme vinapatikana
Eneo bado halijapimwa
Price: 17m (neg)
Call/SMS: 0756 832833
For serious person only.




View attachment 1044966View attachment 1044967View attachment 1044969View attachment 1044970View attachment 1044971View attachment 1044972

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwema?
Plot bado ipo?
 
Hivi mbona Wahindi hawaangaikagi na mambo ya viwanja/kujenga nyumba za kuishi ila wanamiliki biashara za maana (za thamani ya Mabiloni)? Tunakwama wapi?
Kwasababu sio kwao hapa ndio maana wengi wanaogopa kufanya hivyo
 
Shamba linapatikana CHANIKA, nzasa.
Takribani km 4 kutoka CHANIKA mwisho.
Shamba lina jumla ya hekari 3
Eneo lote ni tambarare.
Lina documents za kutoka serikali ya mtaa.
Bei kwa kila hekari ni tsh 6m
Mawasiliano: 0756 832833




IMG_20190615_164739.jpeg
IMG_20190615_164735.jpeg
 
Viwanja viko vinne, vimegawanywa kwa ukubwa wa meter 20*20=sqm 400
Eneo ni tambarare na lina asili ya kichanga.
Umbali kutoka ferry/kivukoni ni km 20 (mwendo wa gari)
Eneo linaitwa mbutu mbele ya mwongozo.
Gari za moja kwa moja zinapatikana Kigamboni ferry (k/mboni via mbutu)
Bei ya kiwanja kimoja ni 3m tu.





Screenshot_2019-09-18-20-32-56.jpeg
Screenshot_2019-09-18-20-33-04.jpeg
Screenshot_2019-09-18-20-33-14.jpeg
Screenshot_2019-09-18-20-33-08.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom