Kiwanja kiwanja kiwanja !!!!!!!

lukunij

Member
Jul 4, 2012
36
7
Kiwanja kipo mtwara ekari moja na kimepimwa kipo pembeni mwa barabara ya mtwara- dar maeneo ya kirimahewa ni km tatu na nusu kutoka mtwara mjini bei ni pouwa mawasiliano lukujuma@yahoo.com ,0754756100,0656071876
 
Kiwanja kipo mtwara ekari moja na kimepimwa kipo pembeni mwa barabara ya mtwara- dar maeneo ya kirimahewa ni km tatu na nusu kutoka mtwara mjini bei ni pouwa mawasiliano lukujuma@yahoo.com ,0754756100,0656071876

Wadau,

Nimempigia huyu jamaa kasema bei ni Tshs 50Mil!!
 
nyie kama hamna pesa tueni tu sio lazima mujibu umeongea nani kuhusu bei pesa ya kula tu inakushinda utaweza kununua kiwanja
 
Muuzaji hueleweki mimi umeniambia Tsh 200 Milioni! Inakuwaje hapa? Weka wazi bei yako jamvini kama si mbabaishaji.
nyie kama hamna pesa tueni tu sio lazima mujibu umeongea nani kuhusu bei pesa ya kula tu inakushinda utaweza kununua kiwanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom