lukunij
Member
- Jul 4, 2012
- 36
- 7
Kiwanja kipo mtwara ekari moja na kimepimwa kipo pembeni mwa barabara ya mtwara- dar maeneo ya kirimahewa ni km tatu na nusu kutoka mtwara mjini bei ni pouwa mawasiliano lukujuma@yahoo.com ,0754756100,0656071876
Kiwanja kipo mtwara ekari moja na kimepimwa kipo pembeni mwa barabara ya mtwara- dar maeneo ya kirimahewa ni km tatu na nusu kutoka mtwara mjini bei ni pouwa mawasiliano lukujuma@yahoo.com ,0754756100,0656071876
Wadau,
Nimempigia huyu jamaa kasema bei ni Tshs 50Mil!!
Wadau,
Nimempigia huyu jamaa kasema bei ni Tshs 50Mil!!
nyie kama hamna pesa tueni tu sio lazima mujibu umeongea nani kuhusu bei pesa ya kula tu inakushinda utaweza kununua kiwanja