Kiwanja kinauzwa

chilamjanye

Senior Member
Oct 5, 2007
110
3
ninauza kiwanja madale kwa karibu na kwa kawawa kimezungushiwa michongoma ukubwa ni robo heka na kinafikika kiko tambarare bei ni milioni 5.5 na hakuna dalali mimi ndo mmiliki nauza ili nipate ada ya shule napiga masters so mwenye kunisaidia anakaribishwa kununua nitawapa priority watu watatu wa mwanzo hakijapimwa kuna na maelewano pia namba yangu ni 0715696920/0787585860.
Tahadhari: Niliwahi kukitangaza watu wakajitokeza tukapanga twende wakione sikuona mtu hata mmoja, kwa hiyo kama unajoke usinitafute nataka mteja mwenye dhamira
 
Tores bei nimeandika kabisa hapa 5.5 nimeshapigiwa na watu kama wawili kwa kweli atakeyewahi ndo nitamuuzia ili nipate ada
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom