Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Kibangu, Dar es Salaam

BOFREE

JF-Expert Member
Mar 1, 2012
985
1,287
kiwanja kipo maeneo ya ubungo kibangu karibu na kwa novo
size ya kiwanja ni nusu heka
bei ya kiwanja ni milion 35
kiwanja kina hati moja ivyo unakatiwa nusu heka hlf hati inafuatiliwa ya kwako tu

namba za simu 0710094045

Screenshot_20210304-174051.jpg
Screenshot_20210304-174041.jpg
Screenshot_20210304-173947.jpg
 
Mmmh aiseee mkuu ndiyo umeleta huku, naona kanisa hapo,banda la Sharafani......hapo mchawi bei tu,niliwahi kufanya attempt mara 2 maana nisehemu ninayoijua vizuri, Punguzeni bei hali mbaya mtaani, 15m to 20m sawa,kwa hiyo labda na huo ukuta usogee ndani kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom