Iziwari
Member
- Jun 5, 2021
- 76
- 56
Kiwanja kinauzwa njiro karibu kabisa na barabara ya lemara.
Kwa wale wanaojua kanisa la KKKT Lemara ndio hapo hapo karibu. kabla haujafika kikwakwaru stendi.
Kiwanja ni 30 kwa 15.
kina msingi ndani ambao ni ramani ya nyumba.
ukitaka kuendeleza sawa. Kuna mawe na mchanga pia uliobaki.
Ni mwenye kiwanja alitaka kujenga ila akahairisha akaona auze kiwanja.
Bei mil 23, kiwanja ni kikubwa na mwenye nacho katoa offer hiyo mpaka August mwezi wa 8.
Atakae wahi kabla ya mwezi wa nane au mapema zaidi kuna punguzo la mil 1 pia.
Piga namba 0756431032 kupata maelekezo na kufikishwa kihalali kabisa.
Hatuna madalali na wote tunaotangaza kiwanja hiki ni ndugu ..hakiruhusiwi kutangazwa na mtu mwingine.
Karibu upate kiwanja chako njiro leo.
Kwa wale wanaojua kanisa la KKKT Lemara ndio hapo hapo karibu. kabla haujafika kikwakwaru stendi.
Kiwanja ni 30 kwa 15.
kina msingi ndani ambao ni ramani ya nyumba.
ukitaka kuendeleza sawa. Kuna mawe na mchanga pia uliobaki.
Ni mwenye kiwanja alitaka kujenga ila akahairisha akaona auze kiwanja.
Bei mil 23, kiwanja ni kikubwa na mwenye nacho katoa offer hiyo mpaka August mwezi wa 8.
Atakae wahi kabla ya mwezi wa nane au mapema zaidi kuna punguzo la mil 1 pia.
Piga namba 0756431032 kupata maelekezo na kufikishwa kihalali kabisa.
Hatuna madalali na wote tunaotangaza kiwanja hiki ni ndugu ..hakiruhusiwi kutangazwa na mtu mwingine.
Karibu upate kiwanja chako njiro leo.