Nimekusoma ndg.<< Kwa shangani , chuno ,kambarage yoooooote viwanja vilikuwa juuuuuuuuu sana enzi za jk ila sasa MTWARA ya MAGU kiwanja Unapata bei kuuubwa ni mil.KUMI sehemu nzuri yenye hewa kama magomeni, ufukoni ,>>>nk PUNGUZA BEI soooomo million 200 hakuna atakae nunua hapo >>WACHINA na WAZUNGU hawapo wako LINDI huko
Kiwanja Mtwara mil. 650!!!! Then kodi imelipiwa mpaka mwaka laki mbili na kumi na saba 20017????!!!!!
Yangu macho!!!!
Divion zero mko wengi 20,017 ni laki mbili na kumi na saba? teh teh teh teh R.I.P elimu yetu.Kiwanja Mtwara mil. 650!!!! Then kodi imelipiwa mpaka mwaka laki mbili na kumi na saba 20017????!!!!!
Yangu macho!!!!
Mkuu leta hayo mafedha kiwanja bado kipo.Ambao hamjafika mtwara ni Halali kubishia hiyo bei ila kwa tunaojua mtwara ilivyo sasa hiyo bei ni sawa kulingana na eneo lenyewe
Wakati unakula wakati.Daah kweli kabisa yaani kipindi kile cha kilele cha utafutaji wa gesi Mtwara maisha yalipanda sana.Wenye nyumba zao walipandisha KODI na hii ilipelekea watu wengi kuukimbia Mji na kwenda kuanzisha makazi yasiyo rasmi kando ya Mji.Kuna kiwanja kiliuzwa kwa bilioni moja.
Nami pia nauza kiwanja 45x45 kina pagale pia 80mil.kipo magomeni ComoroJamani kiwanja kimepata MTU ???? Nakihitaji ila punguza bei
Huko ni Mbae sio magomeni.Nami pia nauza kiwanja 45x45 kina pagale pia 80mil.kipo magomeni Comoro