bububu1
Member
- Jan 16, 2016
- 80
- 47
Kiwanja kinauzwa msongola Dar es salaam, kipo sehemu nzuri, kwenye huduma zote kama maji,umeme nk. gari inafika mpaka kiwanja kilipo na bei yake ni nzuri million 3.5 ukubwa miguu 50 Kwa 50 pande zote Kwa mwenye kuhitaji tafadhali wasiliana na mimi Kwa no:0682562162