kiwanja kinauzwa msongola dar es salaam. Kiwanja kipo sehemu nzuri.kutoka bara bara kubwa kwenda kwenye kiwanja ni nusu kilomita 1 kuna bara bara nzuri inayopitika kwa gari. Umeme upo karibuni kufika na kiwanja kipo kwenye mji unaozidi kujengeka vizur,kiwanja kina ukubwa wa urefu 40 na mapana futi 50 kinauzwa kwa bei ya ml 3: mawasiliano: 0656251874