Kiwanja kinauzwa Marobo(kwa kandoro) Daresalaam

Plot Agent

JF-Expert Member
Apr 4, 2014
311
20
Kiwanja kina ukubwa wa square meter 1600, barabara ya gari ipo hadi kwenye Kiwanja, umeme upo mita300 hadi kufika kwenye Kiwanja.
Bei milioni 15/-

Check out>> uncledalali.blogspot.com
 

Attachments

  • 1401094542740.jpg
    1401094542740.jpg
    74 KB · Views: 96
  • 1401094600838.jpg
    1401094600838.jpg
    63.7 KB · Views: 102
  • 1401094664572.jpg
    1401094664572.jpg
    53 KB · Views: 93
Bila kusahau unaweza kukatiwa Kiwanja hiki m(20×20) Kwa milioni6 tu
#Wasiliana 0752953860
 

Attachments

  • 1401111978056.jpg
    1401111978056.jpg
    86.6 KB · Views: 72
  • 1401112014400.jpg
    1401112014400.jpg
    76.6 KB · Views: 64
OK, huu ugeni wa mji utatumaliza! Na huko Salasala sikujui...achilia mbali Kunzudi! Ngoja nipate mwenyeji anielekeze!

Kama unaelekea tegeta kuna sehemu inatwa afrikana hapo ndipo kuna barabara inapanda juu kuelekea salasala, kinzudi n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom