Kiwanja kinauzwa kipo msigani mbezi malamba mawili

Disailly

Senior Member
Oct 18, 2012
130
13
iwanja chenye ukubwa wa mita 55 urefu x35upana kwa 29mita kinafaa matumizi ya ujenzi wa nyumba ya makazi au gesti na baa kina barabara si ya kuomba ipo na kuhusu miundo mbinu kama maji na umeme yapo karibu na hapo bei ni maelewano kwa mawasiliono piga simu namba 0754 286329 uliza Amani
 
iwanja chenye ukubwa wa mita 55 urefu x35upana kwa 29mita kinafaa matumizi ya ujenzi wa nyumba ya makazi au gesti na baa kina barabara si ya kuomba ipo na kuhusu miundo mbinu kama maji na umeme yapo karibu na hapo bei ni maelewano kwa mawasiliono piga simu namba 0754 286329 uliza amani

bei gani?
 
Kwani bei ya maelewano ndo bei gani. Kama upo serious weka bei ili mtu ujue unaanza vo kupiga simu. Haya basi chukua m 2 kama upo tayari
 
bei ya kiwanja ni pale mteja atakapo kiona na kulidhika na mazingira yake ndiyo tunaongea
maana unaweza kuwa na pesa hiyo au hata kuchangishana na mwenzio
 
mi nadhani kwa sisi watanzania hatuwezi kushindana kwa sababu mali ni yangu na haihitaji mizengwe
 
iwanja chenye ukubwa wa mita 55 urefu x35upana kwa 29mita kinafaa matumizi ya ujenzi wa nyumba ya makazi au gesti na baa kina barabara si ya kuomba ipo na kuhusu miundo mbinu kama maji na umeme yapo karibu na hapo bei ni maelewano kwa mawasiliono piga simu namba 0754 286329 uliza Amani

Mbona umeweka dimensions tatu tofauti??
Kiwanja kina pembe ngapi?
 
Kiwanja kipo mbele kidogo ya kinyerezi mwisho panaitwa msitu wa nyuki ni kizuri pamejengeka umeme upo kwa mawasiliano nicheck 0712151818 kiwanja ni changu mwenyewe bei 9m
 
mkuu ni vizuri ukapiga picha eneo na pia ukaweka bei elekezi ili walau mtu kuelewa mazingira
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom