kawakama
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,299
- 391
kipo Mtwara Mjini katika mtaa wa Mitengo jirani kabisa na mji wa Mikindani,kina ukubwa wa sq meter 1500
kimepimwa lakini hakina hati kwa kuwa bado hakijamaliziwa kulipiwa,mitngo ni jirani na bahari ambapo japo bahari haionekani kutokana na miti pamoja na nyumba za watu lakini upepo wa bahari unafika maeneo hayo
kama upo tayari ni pm tuzungumze.
kimepimwa lakini hakina hati kwa kuwa bado hakijamaliziwa kulipiwa,mitngo ni jirani na bahari ambapo japo bahari haionekani kutokana na miti pamoja na nyumba za watu lakini upepo wa bahari unafika maeneo hayo
kama upo tayari ni pm tuzungumze.