uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,406
- 3,594
- Thread starter
- #81
Km 7 Mkuu.bei haipungui mkuuMku lipo umbali gani kutoka barabarani. Upungufu wa bei upo
Km 7 Mkuu.bei haipungui mkuuMku lipo umbali gani kutoka barabarani. Upungufu wa bei upo
Acha bangi.mods toeni pigeni ban uyu mtuSamahani kwa kutoka nje ya mada, lakini ningependa kuongea ukweli kuwa UKRISTO SIO DINI YA HAKI, NDOMANA WAKRISTO WOOTE WAMELAANIWA, UKIWAANGALIA WAKRISTO WENGI USONI WANA SURA MBAYA KA MATAKO,
Samahani kwa kutoka nje ya mada, lakini ningependa kuongea ukweli kuwa UKRISTO SIO DINI YA HAKI, NDOMANA WAKRISTO WOOTE WAMELAANIWA, UKIWAANGALIA WAKRISTO WENGI USONI WANA SURA MBAYA KA MATAKO,
Itakusaidia nini kwa mfano Ukianzisha huu Mjadala??Afadhali wewe umekubali ukweli. Kuliko wenzio wanaobisha na kuukataa ukweli, hongera
Kuwa polite kidogo mkuu, hv vitu vyepesi sana.Kwanini usingeacha mleta Mada ajibu mwenyewe??
Au ni wewe mwenyewe umeingia kwa ID ingine??
Manake sio kila mahali heka ni Mita 70 x70,
Wengine hutumia Sqm 4,047 kumaanisha heka, ambayo kitaalamu ndio sahihi,
Sasa unajikurupukia tu kumjibia mtu halafu uko wrong, dah
Samahani kwa kutoka nje ya mada, lakini ningependa kuonge
Sawa boss.nakuchekNahitaji naomba nicheki pm na namba yako brooo
Upande wa mzenga kimeshapimwa mkuuupande kama unaelekea mzenga au bagamoyo, kimepimwa au hakijapimwa na je kina title deed?
Picha pleaseLipo kibaha ya Mlandizi.umbal toka bara bara kuu ya morogoro road ni 6km.limepakana na Shule .pamoja na reli mpya inayoenda kiwanda kipya cha nondo cha kiluwa .
Bei milioni tatu kwa kila ekari.
Zipo ekari 4.
Eneo zuri kwa makazi.Shule .kiwanda.kilimo n.k
Kwa muitaji tunaweza wasiliana pm
Najaribu kuattach Ina deli.naomba nikufuate pm tuangalie namnaPicha please