Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipimo cha miguu kina maana gani!?Ni kipimo cha wapi na ni miguu ya nani inahusika?
Au we umemwelewa mkuu?! maana mi sijui hiki ni kipimo gani na kinakuwaje hasa ktk upimaji....!haya bana.
hakijapimwa, kipo umbali wa 0.5 toka barabarani, kimepandwa minazi . umeme umefika kina ukubwa wa miguu 27 x 35 bei 3 milioni. kibada full shangwe
0755 099 291 n 0657145555
Kipimo cha miguu kina maana gani!?Ni kipimo cha wapi na ni miguu ya nani inahusika?
miguu kama yako hv au labda tuseme mita
hakijapimwa, kipo umbali wa 0.5 toka barabarani, kimepandwa minazi . Umeme umefika kina ukubwa wa miguu 27 x 35 bei 3 milioni. Kibada full shangwe
0755 099 291 n 0657145555
kilometer mkuu , njoo ulipie ka plot haka , haka kaeneo ni kazuri sana upepo kibao minazi kwa kwenda mbelekweli kaka hujaelezea vizuri unaposema kipo umbali wa 0.5 toka barabarani hicho ni kipimo gani cha meter au kilometer?
Naona ungefafanua vyema watu wakulewe. Kisha unaposema mabo ya miguu nadhani ungetafuta mtu akupimie kiwe kina ukubwa in meters
asante
hakijapimwa, kipo umbali wa 0.5 toka barabarani, kimepandwa minazi . Umeme umefika kina ukubwa wa miguu 27 x 35 bei 3 milioni. Kibada full shangwe
0755 099 291 n 0657145555
..:majani7: :target:na hajasema miguu ya nini
inaweza kuwa miguu ya ngamia,sungura,nguruwe,ngedere,kakakuona au miguu ya bata
ufafanuzi plz
Nitasoma hicho kitabu cha Zaburi ili kuona kama mstari uliotaja umejibu maana ya kipimo cha miguu au umetoa fasiri ya suali langu.Vinginevyo uwe na wakati mzuri mkuu!Kipimo cha miguu kina maana gani!?Ni kipimo cha wapi na ni miguu ya nani inahusika?
miguu kama yako hv au labda tuseme mita
mbona jambo dogo sana hilo mara nyingi tunapopima hatua zinakuwa baadala ya mita hatua 25 nia sawa na mita 25 . kwenye kuuza mashamba wengi wanapima miguu, ni jambo dongo halihitaji mjadala mlefuNitasoma hicho kitabu cha Zaburi ili kuona kama mstari uliotaja umejibu maana ya kipimo cha miguu au umetoa fasiri ya suali langu.Vinginevyo uwe na wakati mzuri mkuu!
Akirimbona jambo dogo sana hilo mara nyingi tunapopima hatua zinakuwa baadala ya mita hatua 25 nia sawa na mita 25 . kwenye kuuza mashamba wengi wanapima miguu, ni jambo dongo halihitaji mjadala mlefu
Mkuu kama ungalieleza namna hii sidhani kama ningaliuliza hivyo,sasa nimekupata vizuri na je kinauzwa bei gani?
Nimekupata vema bwana Akiri,kama.Vipi hilo eneo halifikiwa na mradi mpya(ujenzi wa mji wa Kigamboni)?!mbona jambo dogo sana hilo mara nyingi tunapopima hatua zinakuwa baadala ya mita hatua 25 nia sawa na mita 25 . kwenye kuuza mashamba wengi wanapima miguu, ni jambo dongo halihitaji mjadala mlefu