Wadau nauza kiwanja changu kipo Kange Tanga karibia na kwenye nyumba ya jaji,Kiwanja kina hati ya serikali ya kijiji,Nimeshaweka mawe kana trip 4 hivi,Ukubwa wa kiwanja ni futi 45 na 55. Bei sh 7 million maongezi yapo.Niko tayari kwa sensible offer .Phone 0712652110 au text +447939378570