Kiwanja kinauzwa, kipo eneo la Mwangaza-Dodoma kina ukubwa wa 3081 sqm, terms 33yrs, bei ni Tshs 8,000,000/= (kwa mawasiliano nipigie kwenye namba 0784-715619 au 0754-548430 au 0719-676614)
Mi naijua dodoma mjini tu, Pana umbali gani from city centre??Wakuu kiwanjwa kimepimwa, Kipo Block "F" ni jirani na reli, usawa wa Martin Luther School