Wakuu ninauza kiwanja changu 66ft kwa 131ft kipo uelekeo wa Chanika (kutokea Pugu) kituo kinaitwa Kwachikila (Karibu na Sheratoni). Ukishuka hapo bodaboda ni elfu 1 hadi 1.5 mpaka unafika kwenye kiwanja.
Nilinunua kiwanja 8m waka 2015 ila kutokana na tatizo lililonipata ninakiuza kwa 5m (Gharama za serikali za mitaa nitalipa mimi) na nahitaji malipo ya awamu nne. Awamu ya kwanza 2.3m, na awamu tatu zinazofata kila mwezi laki 9 kukamilisha balance ya 2.7m. Kiwanja hakina chochote zaidi ya miti ya matunda michache niliyopanda.
Nilinunua kiwanja 8m waka 2015 ila kutokana na tatizo lililonipata ninakiuza kwa 5m (Gharama za serikali za mitaa nitalipa mimi) na nahitaji malipo ya awamu nne. Awamu ya kwanza 2.3m, na awamu tatu zinazofata kila mwezi laki 9 kukamilisha balance ya 2.7m. Kiwanja hakina chochote zaidi ya miti ya matunda michache niliyopanda.