Nijosnotes
Member
- Aug 1, 2021
- 85
- 79
DaaahKiwanja bado kipo, Ukubwa ni sqm 1200 bei ni 13 Milioni... kiwanja kipo barabarani kabisa ni tambalale hakina mawe, mita 800 tu toka buhongwa stendi, kimezungukwa na nyumba za kishua, huduma zote za muhimu zipo.
mawasiliano:
0627024790
0754696025
Vipi mkuuDaaah
Anaye hitaji kununua bado hajauona uziNashangaa watu hawataki kununua maeneo.. Sijui hela ndo kikwazo? Au location?