Kiwanja kinauzwa bei poa, Kipo Mbagala vikindu

kakamgeni

JF-Expert Member
Feb 1, 2018
241
201
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Kiwanja kinauzwa kipo Mbagala Vikindu karibu na Shule ya Msingi ya Vikindu na Chuo cha uuguzi cha Vikindu. Ukubwa wake ni 102 kwa 82. Hakina shida yeyote kimepimwa na kina nyaraka zake zote.

Umbali kutoka Kituo cha mabasi Vikindu mpaka kufika kwenye Kiwanja ni takribani Mita 50. Huduma za msingi zimefika ikiwemo Maji, Umeme na Barabara ya kuingia gari kubwa na ndogo bila usumbufu wowote ule.

Nimeambatanisha picha za kiwanja na video fupi ili kama utakuwa umevutiwa nacho tuweze kuwasiliana kwa simu namba : +255 629 22 76 97. Bei ya kiwanja ni Milioni 13(Mazungumzo yapo).

Kwa wale wageni wa Vikindu ni kwamba, ukifika Mbagala kama unatumia Usafiri wa daladala unapanda gari za Vikindu unashuka mwisho wa gari.

Wale wenye Magari binafsi pia ukifika Mbagala Rangi tatu unanyoosha moja kwa moja mpaka kwenye Kiwanda cha Bakhresa kwa Mbele utakutana na kituo cha Mabasi Vikindu unaingia kulia.

Attached Files:
 

Attachments

  • Vikindu1.jpg
    Vikindu1.jpg
    40.9 KB · Views: 53
  • Vikindu2.jpg
    Vikindu2.jpg
    44.4 KB · Views: 53
  • Vikindu3.jpg
    Vikindu3.jpg
    53.8 KB · Views: 52
  • Vikindu4.jpg
    Vikindu4.jpg
    62.3 KB · Views: 54
  • Vikindu5.jpg
    Vikindu5.jpg
    44.4 KB · Views: 53
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Kiwanja kinauzwa kipo Mbagala Vikindu karibu na Shule ya Msingi ya Vikindu na Chuo cha uuguzi cha Vikindu. Ukubwa wake ni 102 kwa 82. Hakina shida yeyote kimepimwa na kina nyaraka zake zote.

Umbali kutoka Kituo cha mabasi Vikindu mpaka kufika kwenye Kiwanja ni takribani Mita 50. Huduma za msingi zimefika ikiwemo Maji, Umeme na Barabara ya kuingia gari kubwa na ndogo bila usumbufu wowote ule.

Nimeambatanisha picha za kiwanja na video fupi ili kama utakuwa umevutiwa nacho tuweze kuwasiliana kwa simu namba : +255 629 22 76 97. Bei ya kiwanja ni Milioni 13(Mazungumzo yapo).

Kwa wale wageni wa Vikindu ni kwamba, ukifika Mbagala kama unatumia Usafiri wa daladala unapanda gari za Vikindu unashuka mwisho wa gari.

Wale wenye Magari binafsi pia ukifika Mbagala Rangi tatu unanyoosha moja kwa moja mpaka kwenye Kiwanda cha Bakhresa kwa Mbele utakutana na kituo cha Mabasi Vikindu unaingia kulia.

Attached Files:

Ni Mita 31 kwa 25 hapo Sawa na 770 Sqm hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom