Kiwanja kina uzwa.

Oct 21, 2017
34
7
8de271027e394ea28993cb66a1d814b4.jpg
7cf07c904c01a8383a859d6963f19840.jpg
a755a120ce7518caee05e5577ea815cb.jpg
788caf687ae7e477e1f243e976a75f07.jpg

Kipo maeneo ya igoma machinjioni kina upana wa 25 mt na urefu 55 mt, hakina mgogoro. Wasiliana na 0763269695 ilikupata maelezo zaidi pamoja na bei.
 
Kipo maeneo ya igoma machinjioni kina upana wa 25 mt na urefu 55 mt, hakina mgogoro. Wasiliana na 0763269695 ilikupata maelezo zaidi pamoja na bei.
Akili yako uliyotumia kujiunga hapa JF inakuambia kua kwa vile tu wewe unapajua Igoma machinjioni basi kila mtu humu atakua anapajua hapo mahali.
Tangazo likikosa wateja unaanza kuwaza labda pengine umelogwa, tabu sana aisee
 
For effectiveness weka bei indicative. Wasioweza hawatakupigia simu watacomment hapahapa na unaweza pata mteja haraka zaidi. Na akikupigia mtu ujue huyo yuko serious. We ona tangazo toka asubuhi lina replies 4 tu sijui, hiyo ni sawa?
 
IGOMA iko Mwanza njia kama unaenda musoma!
Ni kilometers kama 12-15 kutoka katikati ya jiji la Mwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom