Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,256
- 6,893
Huyo mtu mbona kama namuona hapa jiraniBega linakutoshaView attachment 1743393
Huyo mtu mbona kama namuona hapa jiraniBega linakutoshaView attachment 1743393
Humo humo mdogoangu. Tuanzie huko,tukaishie disco debe la kukata na shokaNjoo kesho kuna chaka booombaaa...nataka kesho kuogelea
Ha haaaa..nakuona mtaalamu wa uchanguzi wa mamboMbona unakandiaga mademu vibonge kiutaalm huyu sio skinny🥰
Nicheck basi tujueNjoo kesho kuna chaka booombaaa...nataka kesho kuogelea
Nimemis kuruka debe had nasema kweli nimeshakuwa mtu mzima....roho i radhi ila nafsi haitak....hahaa ila siku ntajitoa ufahamu...maana ndo hobby yangu...Humo humo mdogoangu. Tuanzie huko,tukaishie disco debe la kukata na shoka
We si uko kwa Mwaki?Nicheck basi tujue
KheeeeHuyo sio skinny.kanenepa..nashindwa cha kumfanya. Ila nimemwambia achunge sana.maana nyege nae sina kabisa
Hatari hiiHuyo sio skinny.kanenepa..nashindwa cha kumfanya. Ila nimemwambia achunge sana.maana nyege nae sina kabisa
Mimi sijali umri,kipendacho roho,ipe nafsi kile ikipendacho,ndivyo wenzetu weupe wametuzidi hapo. Unajifunga eti kwa ajili ya wengine. Nasema NoNimemis kuruka debe had nasema kweli nimeshakuwa mtu mzima....roho i radhi ila nafsi haitak....hahaa ila siku ntajitoa ufahamu...maana ndo hobby yangu...
Ndio,lakini kama kikieleweka,naruka tu mapemaWe si uko kwa Mwaki?
Hahaha muoneNdio,lakini kama kikieleweka,naruka tu mapema
Ah mm kufake sina kbs damu hiyo...sema naitafuta siku aiseMimi sijali umri,kipendacho roho,ipe nafsi kile ikipendacho,ndivyo wenzetu weupe wametuzidi hapo. Unajifunga eti kwa ajili ya wengine. Nasema No
Nicheck basi. Nakubembeleza....!Hahaha muone
Huo ndio uhalisia na uungwana. Ipe kitu roho inataka?Ah mm kufake sina kbs damu hiyo...sema naitafuta siku aise