Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Aisee..pasaka swaafi huku tukimuenzi mzee wetu..
Kiwanja kikali na nyimbo za mapambio mwanzo mwisho..dj anakwaambia tutaelewana tu
Kama kawaida ..red label inashuka vzuur tu kumbe na nyimbo hiz
That feeling...ya church flan hiv amazing huku nikishushia na kilaji ..kanyama kidogo bas swaafi.
Shemej yenu akichezesha mabega tu....
Times like this ..is when u apreciate GOD....Health and life.
Happy easter evelibade yall.
Uzi tayar
Kiwanja kikali na nyimbo za mapambio mwanzo mwisho..dj anakwaambia tutaelewana tu
Kama kawaida ..red label inashuka vzuur tu kumbe na nyimbo hiz
That feeling...ya church flan hiv amazing huku nikishushia na kilaji ..kanyama kidogo bas swaafi.
Shemej yenu akichezesha mabega tu....
Times like this ..is when u apreciate GOD....Health and life.
Happy easter evelibade yall.
Uzi tayar