Kiwanja chenye ukubwa wa 2219sqmtr (low density)kiko buyuni kinauzwa.

Doltyne

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
440
170
Kiwanja kizuri kabisa kina 2219sq mtr, bei yangu ni 4000 kwa sqmt moja, so ni 8,876,000. Nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza, nimekisafisha vizuri, nimezungushia nguzo za zege kiwanja kizima, pia nimepanda michongoma iliyokwisha chipua na nimerekebisha barabara iliyoachwa hoi na wananchi. Kiko blok 22,kiwanja ni tambarare, kwa sasa nimepanda matikiti maji ili pasikae bure. Serious buyer anipm au apige namba 0714881500.

Shukran.
 
Mkuu tupatie detail za buyuni...nimevutiwa na bei ila b4 sija ku-PM ningependa maelezo zaidi ya huko buyuni...
 
Mkuu tupatie detail za buyuni...nimevutiwa na bei ila b4 sija ku-PM ningependa maelezo zaidi ya huko buyuni...

Buyuni ni wilaya ya ilala, ipo mbele ya pugu, njia ya kwenda chanika. Kuna lami mpaka huko. Na kuna barabara nzuri tu zimechongwa na serekali, viwanja vyote huko vimepimwa na vina title deed. Ni viwanja vya mradi. Kimaendelea kumeshaendelea sana, nyumba nyingi sana zina/meshajengwa.
Ingekuwa vema ningekupeleka ukaona kiwanja chenyewe. Kwa bahati mbaya sasa hv natumia simu, ila ningeattach picha hapa uone.

Kuna nyumba 800 zinajengwa na nssf na kuna shule za kanisa zipo katika ujenzi. Nk.... Kifupi ni sehemu ambayo ndani ya miaka miwili hii patakuwa mji wenye watu na pirika tele.
 
Kiwanja kizuri kabisa kina 2219sq mtr, bei yangu ni 4000 kwa sqmt moja, so ni 8,876,000. Nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza, nimekisafisha vizuri, nimezungushia nguzo za zege kiwanja kizima, pia nimepanda michongoma iliyokwisha chipua na nimerekebisha barabara iliyoachwa hoi na wananchi. Kiko blok 22,kiwanja ni tambarare, kwa sasa nimepanda matikiti maji ili pasikae bure. Serious buyer anipm au apige namba 0714881500.

Shukran.
Mkuu block 22 ipo pande zipi? ,nashuka kituo gani ,we nitajie me huko nshakuwa mwenyeji nimehamia kwangu block 8 ,Taliani kituo :) ,nijuze fasta kesho nikutafute
 
Mkuu block 22 ipo pande zipi? ,nashuka kituo gani ,we nitajie me huko nshakuwa mwenyeji nimehamia kwangu block 8 ,Taliani kituo :) ,nijuze fasta kesho nikutafute

Nipigie nikupeleke. Nipo opposite na oilcom, kuna njia inaingia kushoto ina kibao cha efatha ministry. Leo nipo free kama vp tuwasiliane.
 
Ukitokea katikati ya Jiji say Posta mpaka huko ni umbali wa Km ngapi?
Hilo nalo ni la msingi kwani wengine suala la kuamka mapema kwetu ni mtihani kidogo.
 
Ukitokea katikati ya Jiji say Posta mpaka huko ni umbali wa Km ngapi?
Hilo nalo ni la msingi kwani wengine suala la kuamka mapema kwetu ni mtihani kidogo.

Sijawahi kupima mkuu kwani shughuli zangu haziko posta. Ila kutoka kiwanjani mpaka mwenge ni 42km approx. Kwahiyo kimakadirio mpaka posta itakuwa arround 30-35km, kuna umbali kama kunduchi flani hv. Na sasa kuna double road inajengwa mpaka pugu, surely itapunguza makali ya mnyororo.
 
Kiwanja kizuri kabisa kina 2219sq mtr, bei yangu ni 4000 kwa sqmt moja, so ni 8,876,000. Nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza, nimekisafisha vizuri, nimezungushia nguzo za zege kiwanja kizima, pia nimepanda michongoma iliyokwisha chipua na nimerekebisha barabara iliyoachwa hoi na wananchi. Kiko blok 22,kiwanja ni tambarare, kwa sasa nimepanda matikiti maji ili pasikae bure. Serious buyer anipm au apige namba 0714881500.

Shukran.

Vipi ndugu, hicho kiwanja tayari kimeshapata mteja au bado?
Nijuze niangalie ustaarabu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom