Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 170
wana jf, kiwanja chenye ukubwa wa sqmtr1200 na ushee, kina hati na kimepimwa katika mradi wa viwanja buyuni, karibu na chanika kinauzwa kwa sh milioni nane tu. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0714881500. Unaongea na wenye kiwanja na si dalali. Nb. Usinipm, sina access na internet ya uhakika kwa sasa.