HIVI NI VIWANJA VYA MLADI MPYA
- kipo Buyuni wilaya ya Ilala, Dar es salaam.
- ni 1.5km toka barabara kuu
- umeme bado haujafika upo umbali wa 1km
- maji ya kisima
- eneo tayari limeanza kujengwa nyumba yaani majirani na kiwanja hiki na tayari kuna makazi
- bei ni 13.5m
- kina hati , na kipo tambalale
- tuwasiline 0755 099 291 na 0657 145555