Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.
Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!
Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.
Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi
Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!
Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.
Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi