Kiwanja cha AVALON cinema: TIBAIJUKA acha unafiki

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.

Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!

Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi
 
Nimesikia kiwanja cha AVALON kimetolewa kwa NYERERE FOUNDATION baada ya mkuu Magogoni kukataa kuruhusu ujenzi wa makao makuu hayo katika eneo lao la zamani eti kwa sababu ya usalama wa Ikulu. Kile kiwanja kilikuwa cha City Council na wamebadilishana na Nyerere Foundation kwa kiwanja chao cha zamani karibu na Ikulu. As it is Mama Tibaijuka has her hands full right now. Tumwache ayashughulikie one at a time otherwise atakuwa amechew more than she can handle.
 
What does the City Masterplan say?
Is this plot an open space or not?
Lets get the facts right and then advice the Hon Minister
 
Kiwanja chenye matatizo sugu cha maeneo Rose Garden kule Kijitonyama je, mama umeipitia kwenye mifaili yako??????

Ukimaliza hapo basi katembelee Shule ya Msingi Kawe ukamwambie Londa akawarudishie hawa Wa-Tanzania wachanga eneo lao halali nao wakapate kucheza mpira. Mama pale shule ya msingi Anan Asif mpaka aibu tupu, nenda tu ukajionee.

Mama, ulipokua maighaibuni huko sisi tuliweza kujifanyia mabadiliko makubwa sana kimfumo. Hiyo ndio Tanzania halisi isiojali watoto wala maendeleo yao ya kusoma shuli. Kushoto, kulia ni maslahi binafsi tu kwa kwenda mbele!!!!
 
Huwezi kupindua maamuzi ya boss wako wote mkiwa kazini. Vinginevyo huipendi kazi yako
 
Si nguvu ya soda hii?! Huyu mama asitutie matumaini halafu baadaye akaingia mitini....wengi wanaanza hivi baadaye wanafyata. Let's see.
 
https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/style/logo.gif
Ongea bayana, kwanini unaficha ficha na kuweka mafumbo mengi?
Hatukuelewi unawaongelea watu gani.
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.

Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!

Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi
 
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.

Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!

Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi


acheni unafki acha mama afanye kazi yake,mafisadi mtakiona,
 
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.

Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!

Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi

Unashindwa nini kuwataja hao unaowatuhumu?

Amandla.....
 
Mama kasi hii ikijatoweka ghafla!!!

Si ulituomba wananchi tukusaidia kazi, basi kakinge sikio lako hapa hapa JF utapata kila kero ya ardhi hata kama ungependa kujua ya kule kwetu Kinyanambo C, Mafinga wala usifunge safari bila kupitia kwanza hapa.
 
mbona maelezo ya jasusi kuhusu hicho kiwana cha avalon kina jieleza vizuri, tatizo naliona lipo ikulu, sababu mahitaji na matatizo yatakayo tokea kwa kubadilisha matumizi ya avalon ni makubwa kuliko hiyo mwl foundation kujenga karibu na ikulu, au wanataka kusema mwl foundation ni ya majasusi? mbona kuna majengo mengi karibu na ikulu na hakuna matatizo iwe ya kijasusi nk, hapa naona ikulu inataka kuitwishwa nyerere foundation dhambi ya avalon halafu mtu wa karibu na ikulu apewe hicho kiwanja kilicho karibu na ikulu unaweza kukuta mke/mtoto/baba anakitaka hicho kiwanja
 
naona ifike mahali waziri husika aonge na wahusika (ikulu) na wasipo elewaana amwachie wizara yake iongozwe toka ikulu
 
naona ifike mahali waziri husika aonge na wahusika (ikulu) na wasipo elewaana amwachie wizara yake iongozwe toka ikulu

Yaani nimeshindwa kukufikia ni kushike mkono! Great Thinking! Tatizo ni IKULU na wala sio hawa maofisa ardhi au planners
 
Si nguvu ya soda hii?! Huyu mama asitutie matumaini halafu baadaye akaingia mitini....wengi wanaanza hivi baadaye wanafyata. Let's see.

Kuna jamaa angu kanambia zile nguvu za club soda mama bado hajaonja mabilioni ya kina manji akionja tu kwisha kazi atakuwa anaingilika hata ukiwa na laki 5 unakamata open space
 
Mh watanzania mmeshaanza lawama kama kawaida yenu.me nadhani mngemshauri kwanza kwa kumtajia maeneo hayo lakini nyie mnaanza kwa kuponda,oh sijui kama ataweza oh ajapewa hela yahusuuuu?acheni uswahili toeni ushauri kwanza baada ya muda ndio mtoe maoni yenu.ndio kwanza anawiki kadhaa ofcn mshamponda hivi hata hayo mafaili yote ashayapitia kweli?mh naye ni binadamu matakwa yenu hawezi kuyafanyia kazi kama mnavyotaka.
 
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.

Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!

Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi

Weka vitu wazi sio kila mtu anajua unachozungumza, inawezekana hata huyo unayetaka achukue hatua hajui ukisemacho!
 
msipate taabu sana:

1. Babu mlalamishi ni huyo wa MWALIMU NYERERE FOUNDATION

2. Mlalamishi mwenzie ni Dr Dr HASSY KITINE ambaye aliwahi kuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa
 
Na pale Drive In hapakuwa kweli eneo la wazi? Lakini sheria ya ardhi si imempa Rais mamlaka ya kubadilisha matumizi ya ardhi? Hivi sio yeye ambaye anapelekewa maombi kupitia ardhi na kuyakubali kweli? Prof. Tiba usijekuwa unamshughulikia Ali Hassan Mwinyi, Mkapa na JK bila kujua!!
 
Back
Top Bottom