Komando kipen
Member
- Jul 13, 2021
- 49
- 36
Kiwanja chaukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa? Kunamdaa amenitafutia kiwanja nilivyo uliza ukubwa akasema 30/30
MitaAisee.
Izo 30 ni Mita au Miguu?
90030 kwa 30 ni sawa na SQUARE METER ngapi??
Shukurani sanaKiwanja kikubwa hicho Mkuu. Kalipie uoteshe mjengo.
Kiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
Kipo maeneo gani na unauziwa bei ganiKiwanja chenye ukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa wataaramu w hizi kazi mnisaidie Kuna mtu kanitafutia kiwanja kasema ukubwa ni 30)30
Hapana nimemwambia kiuhalisia 30*30 ni kiwanja kikubwa sana....Kwa nn unamkatisha tamaa hivyo
Unazidisha 30 mara 3030 kwa 30 ni sawa na SQUARE METER ngapi??
Hapana nimemwambia kiuhalisia 30*30 ni kiwanja kikubwa sana....
Kiwanja chenye ukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa wataaramu w hizi kazi mnisaidie Kuna mtu kanitafutia kiwanja kasema ukubwa ni 30)30
Miguu 39 mara 39Samahani kwa swali tena! Square Meter 1526 inakua ngapi kwa ngapi? Yaani urefu na upana wake!
Hapana nimetafuta kuipata hio hesabu ipi ya jiraniAsante sana mkuu! Upo wizara ya ardhi nini! Maana unajua mambo ya land! 39x39=1521 square meter