tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wakuu naomba nijue kuhusu hawa voda, je ukitumia mpaka gb ngapi ndipo speed inapungua?
Jumapili nilijiunga na kifiruahi cha wiki, nikatunia siku moja tu speep ikaanza kuwa ya kobe...leo nimeunga ya siku speed iko poa tu!!
Sasa kuna ukomo wowote au hivi vifurushi vya wiki vinachakachuliwa?
Asanteni!!
Jumapili nilijiunga na kifiruahi cha wiki, nikatunia siku moja tu speep ikaanza kuwa ya kobe...leo nimeunga ya siku speed iko poa tu!!
Sasa kuna ukomo wowote au hivi vifurushi vya wiki vinachakachuliwa?
Asanteni!!