MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,994
- 10,497
Shamba la kiwanda kipya cha sukari Morogoro kimeruhusiwa kufanya yale yaliyokatazwa kwenye shamba la Mh. Mbowe. Kisa uharibifu wa mazingira.
Serikali ilikataza wakulima kutumia maji ya mito/maziwa kufanya umwagiliaji.
Kitu ambacho ndio kilichomponza mbowe shamba lake kuchakazwa. Sasa hiki kiwanda nacho kinampango na kipo mbioni kufyonza maji kutoka mito iliyopo karibu na shamba hilo jipya.
Hii maana yake nini?/ nashindwa kuelewa hii serikale ya CCM kwanini inaendekeza ubaguzi usio na faida zaidi ya kuleta mitafaruku na hatimaye kuumizana bila sababu.
Serikali ilikataza wakulima kutumia maji ya mito/maziwa kufanya umwagiliaji.
Kitu ambacho ndio kilichomponza mbowe shamba lake kuchakazwa. Sasa hiki kiwanda nacho kinampango na kipo mbioni kufyonza maji kutoka mito iliyopo karibu na shamba hilo jipya.
Hii maana yake nini?/ nashindwa kuelewa hii serikale ya CCM kwanini inaendekeza ubaguzi usio na faida zaidi ya kuleta mitafaruku na hatimaye kuumizana bila sababu.