mud-oil-chafu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2020
- 588
- 950
Ila Israel anahaki ya kutengeneza na sio iranIran inataka kujifanya yeye ni safu mwamba wa middle east. wajukuu wa Abraham wapo macho na wanamliza vibaya sana ila hakomi uchokozi.kama akijifanya kutengeneza kinguvu Nukes basi yaliyotokea chenobily kule urussi mwaka 1986 yatatokea Iran, mtambo utavuja na majeneza na sanda zitauzwa sana pale Nataz!