Kiwanda Kikubwa cha Kusafisha Dhahabu Afrika Mashariki kilichojengwa Jijini Mwanza chaanza Rasmi Uzalishaji

Kiwanda kikubwa cha kusafisha dhahabu cha Mwanza Precious Refinery (MPMR) kimeanza rasmi uzalishaji.

Kiwanda hicho kinao uwezo wa kuzalisha kilo 480 za dhahabu kwa siku kimejengwa kwa fedha za ndani

Aidha kinao uwezo wa kusafisha dhahabu safi kwa 99.9% (purity) ya ubora ambao ni kiwango cha juu cha Kimataifa

Dkt Venance Mwase - Mkurugenzi Mtendaji STAMICO

Matumizi sahihi ya Rasilimali Huleta Matokeo Chanya Kwa Watu Wote
Kiwanda cha kuchakata mafi..
 
IMG_7280.png
 
Kiwanda kikubwa cha kusafisha dhahabu cha Mwanza Precious Refinery (MPMR) kimeanza rasmi uzalishaji.

Kiwanda hicho kinao uwezo wa kuzalisha kilo 480 za dhahabu kwa siku kimejengwa kwa fedha za ndani

Aidha kinao uwezo wa kusafisha dhahabu safi kwa 99.9% (purity) ya ubora ambao ni kiwango cha juu cha Kimataifa

Dkt Venance Mwase - Mkurugenzi Mtendaji STAMICO

Matumizi sahihi ya Rasilimali Huleta Matokeo Chanya Kwa Watu Wote
Fedha za ndani! Hivi huu wimbo bado unaimbwa?wanaoimba huu wimbo itakuwa wanaroho ngumu kama jiwe.
 
Back
Top Bottom