HABARI ZENU WANA JF.
Namshukuru Mungu kwa mawazo yenu ya kuhusu sabuni nami nameingia kwenye hiyo biashara kuanza hatua za mwanzo kabisa kuwenda kumuona supply wa mashine kupata bei na kuweka order tayari.ss hv nakwenda TBS na TFDA ilikujuwa taratibu zikoje.wadau naomba ushauri wenu na changa moto zake ili nami nijuwe mapema wakti naingia huko kama kuna matatizo tafadhali niambie mapema kabla sijafika mbali sana.Wadau kam ilivyo ada kuwa kazi ni ngumu sana kupatikan Tanzania na niwajibu wetu kujitafutia ajira ili nasi tuweze kuajiri wezetu ili tupate chakula ya kila siku.Natanguliza shukuran zangu za dhati.
MUNGU IBARIKI JF NA WANA JF WAOTE
Namshukuru Mungu kwa mawazo yenu ya kuhusu sabuni nami nameingia kwenye hiyo biashara kuanza hatua za mwanzo kabisa kuwenda kumuona supply wa mashine kupata bei na kuweka order tayari.ss hv nakwenda TBS na TFDA ilikujuwa taratibu zikoje.wadau naomba ushauri wenu na changa moto zake ili nami nijuwe mapema wakti naingia huko kama kuna matatizo tafadhali niambie mapema kabla sijafika mbali sana.Wadau kam ilivyo ada kuwa kazi ni ngumu sana kupatikan Tanzania na niwajibu wetu kujitafutia ajira ili nasi tuweze kuajiri wezetu ili tupate chakula ya kila siku.Natanguliza shukuran zangu za dhati.
MUNGU IBARIKI JF NA WANA JF WAOTE