Kiwanda cha rangi Billion Paints kinanyanyasa wafanyakazi, mpaka sasa hakuna mfanyakazi mwenye mkataba

Acheni kumuaribia Mangi
Mangi kama unampenda, mpe mawazo haya.

1. Yeye anamiliki mtaji atafute wataalum wenye uwezo wa kuendesha kiwanda kitaasisi sio kifamily.

2. Awe na HR. Na CEO,

3.Apunguze jaziba kunatokea sitomfahamu ili ajue vyanzo vya matatizo.

4. Aondoe kabisa janja ya kuwafanya wafanyakazi wote vibarua wengine akiwaahidi kuwaajiri baada ya test miezi kadhaa alafu anawafukuza.

5. Kila mtu asimamie anachokijua, sio mlinzi ndiye anakuwa makenika kwenye vifaa vya electronic.

6. Aeshimu haki za wafanyakazi wake kwani wakati mwingine akiwafukuza wakaduwaa anawatolea bastola.

7. Athamini uwezo wa wafanyakazi kazi wake sio kila mtu anaona analingana na mtu mwingine hadi kutumwa vitu visivyositahili kulingana na elimu.

8. Atambue kuwa mali na vitu vingine vyote kapewa na Mungu hivyo tunaishi kwa kutegemeana si kuwa na hela tu inatosha.
 
Mwenye Kiwanda bado ni Kijana na kuna vitu bado vinamchanganya, Kitu cha kwanza ni kwamba bado yeye Binafsi hajajua anachokihitaji ni nini kati ya Umaarufu au Pesa na Utajiri.

Pili unapowekeza Pesa mahala wape kazi Wataalam wakufanyie kazi, ukitaka wewe mwenyewe uwepo kila mahala kwa kudhani unajua kila kitu basi hilo ni kosa kubwa sana, Kama tajiri tengeneza Management ipe malengo iache ifanye kazi.

Waswahili tuna shida sana.. na ndio maana hakuna Biashara kubwa ya Mswahili inayodumu Vizazi na Vizazi.
 
Mwenye Kiwanda bado ni Kijana na kuna vitu bado vinamchanganya, Kitu cha kwanza ni kwamba bado yeye Binafsi hajajua anachokihitaji ni nini kati ya Umaarufu au Pesa na Utajiri.
Pili unapowekeza Pesa mahala wape kazi Wataalam wakufanyie kazi, ukitaka wewe mwenyewe uwepo kila mahala kwa kudhani unajua kila kitu basi hilo ni kosa kubwa sana, Kama tajiri tengeneza Management ipe malengo iache ifanye kazi.
Waswahili tuna shida sana.. na ndio maana hakuna Biashara kubwa ya Mswahili inayodumu Vizazi na Vizazi.
Mkuu sasa hao wataalam ndo wapigaji
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom