Kiwanda cha METL chafungwa rasmi, wafanyakazi 247 watimuliwa

Bikirajohola

JF-Expert Member
Jun 11, 2022
356
632
Wafanyakazi 247 wa kiwanda cha METL kinachojishughulisha na mazao ya mkonge wameandikiwa barua rasmi za kusimamishwa kazi huku wakimwangukia Rais Samia awasaidie maana hali ya maisha yao inaenda kuwa mbaya.

Baadhi ya sababu zilizotolewa na wamiliki wa kiwanda hicho kukifunga ni pamoja na ushindani mkali unaotokana na kuruhusiwa kuingia kwa nyavu bandia za nailoni kutoka nje ya nchi baada ya nchi kufunguliwa.

 
Wafanyakazi 247 wa kiwanda cha metl kinachojishughulisha na mazao ya mkonge wameandikiwa barua rasmi za kusimamishwa kazi huku wakimwangukia Rais Samia awasaidie maana hali ya maisha yao inaenda kuwa mbaya.
Baadhi ya sababu zilizotolewa na wamiliki wa kiwanda hicho kukifunga ni pamoja na ushindani mkali unaotokana na kuruhusiwa kuingia kwa nyavu bandia za nailoni kutoka nje ya nchi baada ya nchi kufunguliwa.


Sasa hapo Rais anahusikaje?

Mimi nilikuwa nafanya Kazi Uchumi Supermarket mwaka 2015 tulipigwa chini baada ya Kampuni yetu kufilisika kila mtu akashika njia yake..

Sasa kama watalipwa Chao si waondoke? Kazi za sekta binafsi ndivyo zilivyo,hawakuajiri kuwasaidia Maisha bali nyie muwazalishie,sasa kama mambo hayajaenda walivyotaja wanafunga biashara.
 
Sasa hapo Rais anahusikaje?

Mimi nilikuwa nafanya Kazi Uchumi Supermarket mwaka 2015 tulipigwa chini baada ya Kampuni yetu kufilisika kila mtu akashika njia yake..

Sasa kama watalipwa Chao si waondoke? Kazi za sekta binafsi ndivyo zilivyo,hawakuajiri kuwasaidia Maisha bali nyie muwazalishie,sasa kama mambo hayajaenda walivyotaja wanafunga biashara.
Tanzania ya viwanda imeishia wapi
 
Sasa si waongeze technolojia na wao watengeneze za namna hiyo wauze kwa bei ya chini
Wafanya biashara wa africa wanaoenda kunyenyekewa sana

Hakuna kunyenyekewa kama mfanyabiashara lazima ufanye kitu kinachokupa faida. Kaona hampi faida suluhu ni kufunga.

Huwezi kuamka tu ghafla ukaagiza na wewe nyuzi lazima ufanyike wekezaji mpya kuanzia mifumo
 
Sasa hapo Rais anahusikaje?

Mimi nilikuwa nafanya Kazi Uchumi Supermarket mwaka 2015 tulipigwa chini baada ya Kampuni yetu kufilisika kila mtu akashika njia yake..

Sasa kama watalipwa Chao si waondoke? Kazi za sekta binafsi ndivyo zilivyo,hawakuajiri kuwasaidia Maisha bali nyie muwazalishie,sasa kama mambo hayajaenda walivyotaja wanafunga biashara.
Hatimaye siri imefichuka kwanini unamchukia Mwamba Hayati JPM kuliko hata shetani, kumbeeeee....

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom