KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
Na hata kama ni kweli KMTC imeanza kazi,basi hakitazidi mwaka mmoja,kitakuwa kimefariki.Acha kusoma magazeti ya kufungia mandazi,hicho kiwanda kilicho anza uzalishaji kipo Moshi ya Chato? Sasa hivi nipo njia panda ya machame sioni kitu