Kiwanda cha dawa alichozindua Rais Magufuli kipo tangu mwaka 2014, sio kipya

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
Kiwanda cha kwanza cha dawa za binadamu Mwanza



Maelezo ya hatua kwa hatua ya utengenezaji dawa.

Habari via GSengo Blog -- MKUU wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, amewataka wamiliki wa viwanda katika mkoa wa Mwanza kuhakikisha wanatoa kipaumbele cha ajira kwa wananchi wanaozunguka maeneo ya viwanda kabla yakufikiria watu kutoka mbali.

Kauli hiyo ameitoa Jiji Mwanza wakati wa uwekaji wa Jiwe la Msingi na kuzindua katika kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akiweka Jiwe la Msingi na kuzindua katika kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Prince Pharmaceutical cha jijini hapa kilichopo katika eneo la Buhongwa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.

Katika hatua nyingine Ndikilo amewaomba mamlaka ya Chakula na dawa nchini kuona uwezekano wa kukifanyia ukaguzi ili waweze kukifungua kiwanda hicho mapema na shughuli za uzalishaji ziweze kuanza mara moja. " Ndugu zangu haiwezekani kila kitu kimekamilika halafu wenzetu wa TFDA wanasema watakuja kufanya ukaguzi tarehe ishirini na nane, alisema Ndikilo na kuongeza, lazima wafahamu kuanza kwa kiwanda ni ajira, uzalishaji, ukuzaji wa uchumi n.k" huku akimtaka Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa kanda ya Ziwa kuwasiliana na makao makuu kuona uwezekano wa kufanya ukaguzi wa haraka na kukiruhusu kiwanda hicho kufanya kazi.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo pamoja na msafara wake uliojumuisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Baraka Konisaga pamoja na madiwani na viongozi wengine ulipata nafasi ya kutembelea idara mbalimbali za uzalishaji kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Prince Pharmaceutical.

Aidha Mkuu huyo wa mkoa, alionya juu ya utunzaji wa mazingira, ulinzi wa kiwanda kwa wananchi wanaozunguka na kuhakikisha wakti wote wanatoa ushirikiano kwa Mwekezaji.

Kwa upande wake mmiliki wa kiwanda hicho, ameupongeza na kuushukuru uongozi wa Mkoa wa Mwanza na wilaya kwa ushirikiano mkubwa waliompa tangu alipokuwa na dhamira ya kuanzisha kiwanda hicho hapa mkoani,

Katika kuhakikisha anaunga mkono juhudi za Serikali kuwaletea maendeleo wananchi, Mmiliki wa Kiwanda hicho bw. ametoa Jumla ya Mifuko ya Sementi 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Maabara kwa Shule za Sekondari za Lwanyuma na Buhongwa, zilizopo wilayani Nyamagana sehemu ambayo kiwanda hicho kipo.

Prince Pharmaceutical ndicho kiwanda cha kwanza na cha kipekee katika kanda ya Ziwa, ambacho mara baada yakuanza kazi, kitakuwa Tegemeo kwa wananchi wa kanda ya ziwa na Mikoa ya Jirani na kanda hiyo ikiwa ni pamoja na Nchi Jirani.


Moja ya mashine zilizosimikwa kiwandani hapa kwaajili ya uzalishaji dawa.


Ufafanuzi kwa kina.





Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula alivutiwa na uwekezaji huu wa kwanza kufanyika jijini Mwanza.


Mitambo.


Uzalishaji kwa majaribio tayari umekwishaanza na hii ni moja kati ya sample zitakazo oneshwa kwa wakaguzi wa Viwanda, Chakula na Madawa watakao dhuru kiwandani hapa hivi karibuni kwa ajili ya ukaguzi ili uzalishaji upate kuchukuwa nafasi.


Korido ndani ya kiwanda hicho cha madawa.
 
Hahahahahahaha lol! Tanzania ya vi Wonder!!!! Huu ni uongo uliokithiri! Jamaa kutuzuga Watanzania na vi Wonder vyake 3,306 anazindua hata vya mwaka 47!!!
Kwi kwi kwi kwi kwi chezeya sera MUFILISI!!!

Kiwanda cha kwanza cha dawa za binadamu Mwanza


Maelezo ya hatua kwa hatua ya utengenezaji dawa.
Habari via GSengo Blog -- MKUU wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, amewataka wamiliki wa viwanda katika mkoa wa Mwanza kuhakikisha wanatoa kipaumbele cha ajira kwa wananchi wanaozunguka maeneo ya viwanda kabla yakufikiria watu kutoka mbali.

Kauli hiyo ameitoa Jiji Mwanza wakati wa uwekaji wa Jiwe la Msingi na kuzindua katika kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akiweka Jiwe la Msingi na kuzindua katika kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Prince Pharmaceutical cha jijini hapa kilichopo katika eneo la Buhongwa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.

Katika hatua nyingine Ndikilo amewaomba mamlaka ya Chakula na dawa nchini kuona uwezekano wa kukifanyia ukaguzi ili waweze kukifungua kiwanda hicho mapema na shughuli za uzalishaji ziweze kuanza mara moja. " Ndugu zangu haiwezekani kila kitu kimekamilika halafu wenzetu wa TFDA wanasema watakuja kufanya ukaguzi tarehe ishirini na nane, alisema Ndikilo na kuongeza, lazima wafahamu kuanza kwa kiwanda ni ajira, uzalishaji, ukuzaji wa uchumi n.k" huku akimtaka Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa kanda ya Ziwa kuwasiliana na makao makuu kuona uwezekano wa kufanya ukaguzi wa haraka na kukiruhusu kiwanda hicho kufanya kazi.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo pamoja na msafara wake uliojumuisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Baraka Konisaga pamoja na madiwani na viongozi wengine ulipata nafasi ya kutembelea idara mbalimbali za uzalishaji kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Prince Pharmaceutical.

Aidha Mkuu huyo wa mkoa, alionya juu ya utunzaji wa mazingira, ulinzi wa kiwanda kwa wananchi wanaozunguka na kuhakikisha wakti wote wanatoa ushirikiano kwa Mwekezaji.

Kwa upande wake mmiliki wa kiwanda hicho, ameupongeza na kuushukuru uongozi wa Mkoa wa Mwanza na wilaya kwa ushirikiano mkubwa waliompa tangu alipokuwa na dhamira ya kuanzisha kiwanda hicho hapa mkoani,

Katika kuhakikisha anaunga mkono juhudi za Serikali kuwaletea maendeleo wananchi, Mmiliki wa Kiwanda hicho bw. ametoa Jumla ya Mifuko ya Sementi 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Maabara kwa Shule za Sekondari za Lwanyuma na Buhongwa, zilizopo wilayani Nyamagana sehemu ambayo kiwanda hicho kipo.

Prince Pharmaceutical ndicho kiwanda cha kwanza na cha kipekee katika kanda ya Ziwa, ambacho mara baada yakuanza kazi, kitakuwa Tegemeo kwa wananchi wa kanda ya ziwa na Mikoa ya Jirani na kanda hiyo ikiwa ni pamoja na Nchi Jirani.


Moja ya mashine zilizosimikwa kiwandani hapa kwaajili ya uzalishaji dawa.


Ufafanuzi kwa kina.





Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula alivutiwa na uwekezaji huu wa kwanza kufanyika jijini Mwanza.


Mitambo.


Uzalishaji kwa majaribio tayari umekwishaanza na hii ni moja kati ya sample zitakazo oneshwa kwa wakaguzi wa Viwanda, Chakula na Madawa watakao dhuru kiwandani hapa hivi karibuni kwa ajili ya ukaguzi ili uzalishaji upate kuchukuwa nafasi.


Korido ndani ya kiwanda hicho cha madawa.
 
mkuu, ebu kusanya wajinga wenzako, waone kuwa Magufuli alienda kule kwa ujinga tu wala hakuwa na purpose maalumu, aliamua tu!! angeenda basi kufungua barabara ya Nyerere au airport terminal II

Ungeuliza mkuu!!!! acheni kujivika chuki na ujinga!!

Kiwanda kinaweza kufunguliwa hata mara 100 ilimradi kila mtu anapoenda anaenda na kuna kitu kipya? extension/upgrade?
 
Kiwanda cha kwanza cha dawa za binadamu Mwanza


Maelezo ya hatua kwa hatua ya utengenezaji dawa.
Habari via GSengo Blog -- MKUU wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, amewataka wamiliki wa viwanda katika mkoa wa Mwanza kuhakikisha wanatoa kipaumbele cha ajira kwa wananchi wanaozunguka maeneo ya viwanda kabla yakufikiria watu kutoka mbali.

Kauli hiyo ameitoa Jiji Mwanza wakati wa uwekaji wa Jiwe la Msingi na kuzindua katika kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akiweka Jiwe la Msingi na kuzindua katika kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Prince Pharmaceutical cha jijini hapa kilichopo katika eneo la Buhongwa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.

Katika hatua nyingine Ndikilo amewaomba mamlaka ya Chakula na dawa nchini kuona uwezekano wa kukifanyia ukaguzi ili waweze kukifungua kiwanda hicho mapema na shughuli za uzalishaji ziweze kuanza mara moja. " Ndugu zangu haiwezekani kila kitu kimekamilika halafu wenzetu wa TFDA wanasema watakuja kufanya ukaguzi tarehe ishirini na nane, alisema Ndikilo na kuongeza, lazima wafahamu kuanza kwa kiwanda ni ajira, uzalishaji, ukuzaji wa uchumi n.k" huku akimtaka Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa kanda ya Ziwa kuwasiliana na makao makuu kuona uwezekano wa kufanya ukaguzi wa haraka na kukiruhusu kiwanda hicho kufanya kazi.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo pamoja na msafara wake uliojumuisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Baraka Konisaga pamoja na madiwani na viongozi wengine ulipata nafasi ya kutembelea idara mbalimbali za uzalishaji kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Prince Pharmaceutical.

Aidha Mkuu huyo wa mkoa, alionya juu ya utunzaji wa mazingira, ulinzi wa kiwanda kwa wananchi wanaozunguka na kuhakikisha wakti wote wanatoa ushirikiano kwa Mwekezaji.

Kwa upande wake mmiliki wa kiwanda hicho, ameupongeza na kuushukuru uongozi wa Mkoa wa Mwanza na wilaya kwa ushirikiano mkubwa waliompa tangu alipokuwa na dhamira ya kuanzisha kiwanda hicho hapa mkoani,

Katika kuhakikisha anaunga mkono juhudi za Serikali kuwaletea maendeleo wananchi, Mmiliki wa Kiwanda hicho bw. ametoa Jumla ya Mifuko ya Sementi 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Maabara kwa Shule za Sekondari za Lwanyuma na Buhongwa, zilizopo wilayani Nyamagana sehemu ambayo kiwanda hicho kipo.

Prince Pharmaceutical ndicho kiwanda cha kwanza na cha kipekee katika kanda ya Ziwa, ambacho mara baada yakuanza kazi, kitakuwa Tegemeo kwa wananchi wa kanda ya ziwa na Mikoa ya Jirani na kanda hiyo ikiwa ni pamoja na Nchi Jirani.


Moja ya mashine zilizosimikwa kiwandani hapa kwaajili ya uzalishaji dawa.


Ufafanuzi kwa kina.





Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula alivutiwa na uwekezaji huu wa kwanza kufanyika jijini Mwanza.


Mitambo.


Uzalishaji kwa majaribio tayari umekwishaanza na hii ni moja kati ya sample zitakazo oneshwa kwa wakaguzi wa Viwanda, Chakula na Madawa watakao dhuru kiwandani hapa hivi karibuni kwa ajili ya ukaguzi ili uzalishaji upate kuchukuwa nafasi.


Korido ndani ya kiwanda hicho cha madawa.
Hata daraja la furahisha lilikamilika na kutumika enzi ya JK kilichofanyika ni kulipaka tena rangi na kuzinduliwa na CHASIFA
 
mkuu, ebu kusanya wajinga wenzako, waone kuwa Magufuli alienda kule kwa ujinga tu wala hakuwa na purpose maalumu, aliamua tu!! angeenda basi kufungua barabara ya Nyerere au airport terminal II

Ungeuliza mkuu!!!! acheni kujivika chuki na ujinga!!

Kiwanda kinaweza kufunguliwa hata mara 100 ilimradi kila mtu anapoenda anaenda na kuna kitu kipya? extension/upgrade?
Ujinga ni mzigo!
 
Ujinga mwingine sio lazima kuokota makopo.

Watu mmkekuwa wajingawajinga tu
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom