Kiwanda cha Bakhresa - Bagamoyo kuanza uzalishaji wa sukari

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,703
15,156
Imeripotiwa kuwa kiwanda cha Bagamoyo sugar kinachomilikiwa na mfanyabiashara Said Bakhresa kinatarajiwa kuanza uzalishaji wa sukari rasmi mwezi wa 6 mwaka huu baada ya ujenzi wake kukamilika.
Ikumbukwe hayati Magufuli alimpatia Bakhresa eneo bure huko Bagamoyo ili alitumie kujenga kiwanda cha kuzalisha sukari nchini na kuondoa utegemezi wa kuagiza sukari nje kila mwaka.

 
Hivi wale wenzetu wa kiwanda cha MKULAZI wamefikia wapi ?? Walishaanza production ? Maana tuliambiwa MKULAZI ikianza na mharobaini wa uhaba wa sukari.
 
Huyu Bakresa namkubali sana.ana uzoefu mkubwa wa uwekezaji kwenye viwanda.hawa mtibwa sugure na kilombero naona wamejaa siasa tuuu.Tuombe tuu asije akiaingiziwa siasa za hovyo.Ila sema huko Bagamoyo mambo ya viwanda huwaga hayamaliziki.kuna kile kiwanda cha dawa,kiwanda cha simu na vibgine vingine vingine tuliambiwaga vitaanzishwa huko bagamoyo ili mpaka sasa kimya kingi
Umeshaambiwa kiwanda kimeshakamilika we unaleta habar za viwanda bagamoyo havikamiliki Sasa mbona hicho kimekamilika
 
Huyu Bakresa namkubali sana.ana uzoefu mkubwa wa uwekezaji kwenye viwanda.hawa mtibwa sugure na kilombero naona wamejaa siasa tuuu.Tuombe tuu asije akiaingiziwa siasa za hovyo.Ila sema huko Bagamoyo mambo ya viwanda huwaga hayamaliziki.kuna kile kiwanda cha dawa,kiwanda cha simu na vibgine vingine vingine tuliambiwaga vitaanzishwa huko bagamoyo ili mpaka sasa kimya kingi

Mtibwa ni mali ya Nassoro wa Superdol na Kagera Sugar pia.....Kilombero iko chini ya Kaburu na nasikia kuna hisa za jamaa fulani marehemu...japo inasemekana hata Mtwiba zipo shares zake...TPTC pale Moshi yupo Kaburu pia..
Bakhressa Muarabu ameingia kilingeni naye, tetesi zinasema kuna mstaafu mmoja mkongwe ndani ya Bakhressa group ni mhusika pia...

Nchi yeyote biashara zikiwa chini ya Muarabu, Mhindi, Mchina na Mbantu na contolling tools zikawa dhaifu tegemea uhuni na umafia mwingi usio na maana ili tu kumake superprofit huku hata raia wakiteseka....Mzungu mweupe kutoka west europe na USA huwa angalau ubeberu wake unakuwa wa akili kidogo akiangalia na maisha ya watu + utu kwa kiasi fulani...

Shida ya Africa ni ubinafsi wa WaAfrica wenyewe weusi wakiwa kwenye madaraka kujali matumbo yao na familia huku wakijua wengine damu yao wakiteseka..
 
Huyu Bakresa namkubali sana.ana uzoefu mkubwa wa uwekezaji kwenye viwanda.hawa mtibwa sugure na kilombero naona wamejaa siasa tuuu.Tuombe tuu asije akiaingiziwa siasa za hovyo.Ila sema huko Bagamoyo mambo ya viwanda huwaga hayamaliziki.kuna kile kiwanda cha dawa,kiwanda cha simu na vibgine vingine vingine tuliambiwaga vitaanzishwa huko bagamoyo ili mpaka sasa kimya kingi
Kimya kingi manaake hela hamna😀 kila mtu ana mpango mzuri ila utekelezaji mgumu
 
Back
Top Bottom