Makavengaaa
Member
- Mar 6, 2019
- 41
- 56
- Thread starter
- #21
Hapa aisee nina maden kibao, namwomba Allah anijaalie niyalipe.Waswahili huwa na usemi wao
unaosema CHA MTU MAVI UKIKIONA
KITEME sasa bwana nikushauri jambo moja kama umewahi kuchukua kitu au mali ya mtu iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi fanya kurejesha hiyo mali au hicho kitu kwa mwenye nacho, hilo tatizo lako litakwisha kabisa...!!!!
Ila ndo iwe sabab ya kujiwa na kivuli hata kama si kumuibia tulikubaliana